britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,635
- 29,967
Kuna mtu anaweza kuwa Anahubiri uzalendo anahubiri kuwa waadilifu, lakin ukiona au ukibahatika kujua mambo yake utabaki mdomo wazi,
Maafisa wa TAKUKURU wana mengi wanajua,
Maafisa wa ngazi za juu sana idara ya upelelezi wanajua mengi sana ila basi tu
Kuna baadhi ya mambo ya wahubiri uaminifu na uadilifu ukayajua utaanguka ulipo na usinyanyuke,
Siamini kama waziri mtembea na katiba anafanya niliyooneshwa,
Sikuamini kabisa kabisa na bado nashangaa, mbona sasa hakuna hatua muhimu zinachukuliwa dhidi yake,
Kuna mkuu wa wazalendo ndo sasa ameniacha mdomo wazi upigaji wake ni wa hatari sana, anajificha ndani ya kivuli fulani hivi na anafanikisha kweli maana Ana watetezi zaid ya million 8,
Ukitaka kujua mengi utajikuta ndani ya chumba fulani peke yako ukiwa huna kumbukumbu umefikaje utakachoona ni ngozi ya chatu aliyekuzunguka na magamba gamba yake,
Tanzania nakupenda sana
Maafisa wa TAKUKURU wana mengi wanajua,
Maafisa wa ngazi za juu sana idara ya upelelezi wanajua mengi sana ila basi tu
Kuna baadhi ya mambo ya wahubiri uaminifu na uadilifu ukayajua utaanguka ulipo na usinyanyuke,
Siamini kama waziri mtembea na katiba anafanya niliyooneshwa,
Sikuamini kabisa kabisa na bado nashangaa, mbona sasa hakuna hatua muhimu zinachukuliwa dhidi yake,
Kuna mkuu wa wazalendo ndo sasa ameniacha mdomo wazi upigaji wake ni wa hatari sana, anajificha ndani ya kivuli fulani hivi na anafanikisha kweli maana Ana watetezi zaid ya million 8,
Ukitaka kujua mengi utajikuta ndani ya chumba fulani peke yako ukiwa huna kumbukumbu umefikaje utakachoona ni ngozi ya chatu aliyekuzunguka na magamba gamba yake,
Tanzania nakupenda sana