MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,486
- 8,704
Kwa nini zitumike pesa za Walipa kodi kuandaa Uchaguzi ambao lengo lilisha julikana kabla ya Uchaguzi wenyewe?
Uzalendo wa Magu uko wapi hapa? Kwa nini ateketeze pesa kwa viini Macho? Hizo pesa si bora angeongeza bombadia?
Inasikitisha sana na cha kusikitisha zaidi kuna wapuuzi wanashabikia huu ujinga, Hizi ni Kodi za Mama zenu na Baba zenu kule vijijini wanako kunywa maji na mifugo.
Uzalendo wa Magu uko wapi hapa? Kwa nini ateketeze pesa kwa viini Macho? Hizo pesa si bora angeongeza bombadia?
Inasikitisha sana na cha kusikitisha zaidi kuna wapuuzi wanashabikia huu ujinga, Hizi ni Kodi za Mama zenu na Baba zenu kule vijijini wanako kunywa maji na mifugo.