1800
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 2,215
- 603
Nisilolifahamu vizuri ni baadhi ya watoto wa Mwalimu kuonekana kama wagonjwa wa akili vile na chapombe kwa sana kama huyu Makongoro na Rosemary. Kwa malezi nyumbani Mwalimu hakuwa mzuri sana. Hakuwa na muda? Mzee Karume hakwenda shule. Watoto wake wawili wamefika mbali. Mzee Ali Hassan Mwinyi watoto wake wengi wamesoma vizuri na wana nafasi zao. Infact, yule aliyegombea ubunge wa EALA jana alijieleza vizuri kuliko mgombea yeyote.
Mkuu kua mlevi nafikiri si tatizo la kimalezi,kuna umri ukifika mtu unakua na maamuzi yako mwenyewe,kuhusu elimu mbona hata watoto wa Nyerere sio wazembe sana kielimu?magige ni engineer,makongoro ana masters ya Edinburgh university,John na Andrew walikua ma pilot,Rose nae nafikiri ana elimu yake nzuri tu!tofauti ya Nyerere na waliomfuata yeye hakuwapa nyadhifa/vyeo vya serikali kama hawa wengine!kuhusu ulevi mbona Abbas Mwinyi na Miraji Kikwete ni walevi wa kutupwa?