Mkuu bila shaka ulisoma Law of Tort, na unakumbuka hii principle "Res ipsa loquitur". Kwa kupitia utawala wa sheria na democrasia, wananchi wamesha-surrender powers zao kwa hao wanaoitwa madikteta. Ni wajibu wa hao "madikteta" kukanusha kwa niaba ya wananchi-watanzania kuwa wao siyo ma-Dictators...na huo ndo Uzalendo. Bila shaka wasingekuwa "madikteta" wangelisha-kanusha zamani sana.
Mkuu, kama hutojali jaribu kupitia comment yangu ile ya hivi karibuni..@Pascal Mayalla
Mkuu, kama hutojali jaribu kupitia comment yangu ile ya hivi karibuni..@Pascal Mayalla