Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Inasikitisha sana mbunge anapata mshahara wa sh.Mil.11 na kiinua mgongo cha sh.Mil.200 na hakatwi kodi na huo mshahara na kiinua mgongo ni kodi za wananchi leo anasimama mbunge na kudai wananchi wakatwe kodi ya uzalendo.
Kama ni uzalendo anzeni nyinyi wabunge wenye mishahara ya mamilioni kukatwa pesa na ziende kwenye miradi ya maendeleo majimboni kwenu huo utakuwa uzalendo.
Wananchi wanyonge na masikini mnawarundikia utitiri wa kodi nyinyi mnastarehe kwa mishahara minono na magari mazuri hebu waoneeni huruma wapiga kura.
Kama ni uzalendo anzeni nyinyi wabunge wenye mishahara ya mamilioni kukatwa pesa na ziende kwenye miradi ya maendeleo majimboni kwenu huo utakuwa uzalendo.
Wananchi wanyonge na masikini mnawarundikia utitiri wa kodi nyinyi mnastarehe kwa mishahara minono na magari mazuri hebu waoneeni huruma wapiga kura.