Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 948
- 1,092
Habari Tanzania!
Naomba niwakumbushe vijana, wazee na watoto machipukizi ya kuwa Uzalendo huwa unajumuisha na kubebwa kifuani na watu wachache.
Katika taifa lolote walio wazalendo huwa ni wachache sana na wanauwezo wa kufanya lolote, popote na wakati wowote kwa kuishi katika manufaa ya taifa.
Angalizo: Siasa, Uchumi, Teknolojia na mambo mengi yanayoshahabiana na hayo hubebwa na vitu viwili.
1. Wakati
2. Uwezo/ Umuhimu
" Usipende kuchezea wakati; maana wakati ukija kucheza na wewe ni ..."
"Karma ni kweli na ipo"
By Mtoto wa Mjini
Naomba niwakumbushe vijana, wazee na watoto machipukizi ya kuwa Uzalendo huwa unajumuisha na kubebwa kifuani na watu wachache.
Katika taifa lolote walio wazalendo huwa ni wachache sana na wanauwezo wa kufanya lolote, popote na wakati wowote kwa kuishi katika manufaa ya taifa.
Angalizo: Siasa, Uchumi, Teknolojia na mambo mengi yanayoshahabiana na hayo hubebwa na vitu viwili.
1. Wakati
2. Uwezo/ Umuhimu
" Usipende kuchezea wakati; maana wakati ukija kucheza na wewe ni ..."
"Karma ni kweli na ipo"
By Mtoto wa Mjini