ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 40,920
- 47,024
Itifaki imezingatiwa
Kumekuwa na tabia ya sisi watanzania kuandika, kutangaza na kutukuza biashara au vivutio vya utalii vya nchi za wenzetu na kupuuza vyetu
Utakuta magari yameandikwa amazon tours,bercelona mara ukanda wa gaza sijui kandahar,Tecno nk nk .Huwa najiuliza kwa nini tusitumie utambulisho,urithi na fahari za kitanzania kwenye biasharazetu? Hii itakuza utalii wa ndani na kuthamini vyetu.Kongole kwa superfeo aliyeandika jina la selous tours kwenye mabus yake.
Natoa wito kwa mamlaka za serikali na watoa leseni walitazame hili
Kumekuwa na tabia ya sisi watanzania kuandika, kutangaza na kutukuza biashara au vivutio vya utalii vya nchi za wenzetu na kupuuza vyetu
Utakuta magari yameandikwa amazon tours,bercelona mara ukanda wa gaza sijui kandahar,Tecno nk nk .Huwa najiuliza kwa nini tusitumie utambulisho,urithi na fahari za kitanzania kwenye biasharazetu? Hii itakuza utalii wa ndani na kuthamini vyetu.Kongole kwa superfeo aliyeandika jina la selous tours kwenye mabus yake.
Natoa wito kwa mamlaka za serikali na watoa leseni walitazame hili