Wadau naomba kujuzwa juu ya utaratibu wa kununua hisa za kampuni ya jamii forum kama makampuni mengine ya mitandao ya kijamii mfn fb, twiter, skype nk, msaada tafadhali
Wadau naomba kujuzwa juu ya utaratibu wa kununua hisa za kampuni ya jamii forum kama makampuni mengine ya mitandao ya kijamii mfn fb, twiter, skype nk, msaada tafadhali
sidhan kama niko sahihi sana, ila navojua mm ni kwmb ili uweze kununua hisa kampun ni lazima hyo kampun iwe imeorodheshwa kwenye soko la hisa (DSE), Jamii forum.haijaorodheshwa DSE mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.