Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Great Innovation All the best mkuuTumerahisisha, sasa unaweza kuuza au kununua, kupanga au kupangisha nyumba mkoa wowote Tanzania kupitia homifytz.com au android app homifytz.
Jinsi ya Ku-Homify
Ni rahisi Piga picha apartment, nyumba, vyumba au kiwanja ingia homifytz.com weka picha na taarifa zake subiri simu za wateja. AU
Download app ya homifytz sign up weka mali yako na usubiri simu mfululizo kutoka kwa wateja. AU
Tuma picha zako na maelezo kwa njia ya Whatsap 0742751265, email service@homifytz.com, DM instagram @homifytz, facebook @homifytz, PM jamii forum @homifytz
Homify your property today
#uza #nunua #pangisha #nyumba #apartment #viwanja #vyumba #homifytzView attachment 1016658
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana kaka kwanza kabisa tumetumia homifytz.com kwa sababu tulipotafuta homify.com ilikwisha kuwa occupied na watu wanaofanya shughuli tofauti na zetu huko ulaya.Samahani! Mbona hamkutumia homify.com ? au mmejipanga kwa Tanzania th hamtaki kifika Int. Level?
2. Hongera sana kwa hili
3. Naweza kupata ajira/kazi au amb. Hapo?
4. Physical office zinapatikana wapi?
Office zetu zipo Dar Victoria lakini pia Dodoma mitaa ya uhindiniSamahani! Mbona hamkutumia homify.com ? au mmejipanga kwa Tanzania th hamtaki kifika Int. Level?
2. Hongera sana kwa hili
3. Naweza kupata ajira/kazi au amb. Hapo?
4. Physical office zinapatikana wapi?
Vizuri term's and conditions ni zipi? Kma hutojariAhsante sana kaka kwanza kabisa tumetumia homifytz.com kwa sababu tulipotafuta homify.com ilikwisha kuwa occupied na watu wanaofanya shughuli tofauti na zetu huko ulaya.
Kuhusu ajira tunaweza kufanya kazi pamoja kama tukikubaliana katika terms na conditions.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waweke website kwa ajili ya kupata Habari zaidiGreat Innovation All the best mkuu
Fanya marketing ya kutosha Mkuu
App nimeijaribu ni nzuri sana na itarahisisha sana mambo ila nuna mambo matatu ya kuwashauri.Tumerahisisha, sasa unaweza kuuza au kununua, kupanga au kupangisha nyumba mkoa wowote Tanzania kupitia homifytz.com au android app homifytz.
Jinsi ya Ku-Homify
Ni rahisi Piga picha apartment, nyumba, vyumba au kiwanja ingia homifytz.com weka picha na taarifa zake subiri simu za wateja. AU
Download app ya homifytz sign up weka mali yako na usubiri simu mfululizo kutoka kwa wateja. AU
Tuma picha zako na maelezo kwa njia ya Whatsap 0742751265, email service@homifytz.com, DM instagram @homifytz, facebook @homifytz, PM jamii forum @homifytz
Homify your property today
#uza #nunua #pangisha #nyumba #apartment #viwanja #vyumba #homifytzView attachment 1016658
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana kwa ushauri mkuu, kuhusu jina tumebuni wenyewe kwa kudevelop kutoka kwenye neno "home" baada ya kusajili tulikutana na jina homify likiwa lina exist.App nimeijaribu ni nzuri sana na itarahisisha sana mambo ila nuna mambo matatu ya kuwashauri.
1. Angalieni mbadala wa jina kama itawezekana kwa sababu jina mnalotumia sasa linaweza kuwaletea mgogoro wa hati miliki hapo mbeleni mkikua.
2. Mjitahidi kuhakikisha kwa wale wanaopost nyumba za kuuza vyumba vya kupanga n.k wawe wamiliki halali na sio madalali hii itapunguza gharama zisizo na msingi kwa mnunuzi au mpangaji.
3. Fanyeni advertisement ya nguvu.
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana kwa ushauri mkuuOngezeni uimara, muonekano mzuri na design bila kusahau speed (traffic)
comment tayari