Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,565
- 15,920
Hebu naombeni tafsiri maana naangalia azam two hapa wakina mama wanajumuisha wanawake wote wa Tanzania kwenye CCM kitu ambacho ni kosa kwa mtazamo wangu.
Huwezi kusema Umoja wa Wanawake Tanzania halafu una associated na CCM ilipaswa ijulkane Umoja wa Wanawake wa CCM Tanzania. Hayo mabendera ya CCM hapo yamechafua kila kitu siyo kila mwanamke ni CCM. Badilikeni hii siyo Tanzania ya Nyerere ya miaka ya 1970
Huwezi kusema Umoja wa Wanawake Tanzania halafu una associated na CCM ilipaswa ijulkane Umoja wa Wanawake wa CCM Tanzania. Hayo mabendera ya CCM hapo yamechafua kila kitu siyo kila mwanamke ni CCM. Badilikeni hii siyo Tanzania ya Nyerere ya miaka ya 1970