UWT kumuenzi Bibi Titi Mohamed

Nyerere akashikilia msimamo wake akapora Mali za watu kwa kisingizio cha Azimio la Arusha na Bibi Titi akaporwa Nyumba zake mbili moja iliyopo Upanga Opposite na Makao Makuu ya Jeshi la Wananchi JWTZ na Nyingine iliyopo Temeke Wailes Nyumba ambazo alipata kwa biashara zake ndogo ndogo kabla hajajiunga na Siasa
Bibi titi alikuwa na miaka 26 wkt huo! nyumba za upanga kwenye jamii ya wahindi aliipataje??? na enzi za mkoloni ilikuwa ni marufuku mwafrica kuishi uhindini wkt wa mkoloni!! saana waliishi Buguruni na kariakoo, Magomeni huko ndo weusi waliiishi!

ni wazi na yeye alipora kwa wahindi wanyonge! kwa kutumia mkono wa siasa iliyoanzishwa na Mzanaki! haya Temeke wailles alipata pataje kirahisi na kwa mda mfupi ivo?? na si mzaramo yule? tena basi mtoto mdogo tu!! lazima na yeye alipora kwa wanyonge!!

ni wazi alikuwa na lengo baya la kumharibia mchonga uongozi wake!! ionekane NYERERE ni mporaji km unavosema, Nyerere zile nyumba zote aliziweka msajili wa majumba mpaka leo, hata km wakienda mahakamani unarudishiwa nyumba zako km ukishinda kesi !

Lkn hawa bibi titi nk walibeba jumla ziwe zao na koo zao! Msajili wa majumba walipata Mtaji wakajenga shule na NH faster mpaka leo zipo tunaziona ubaya uko wapi hapo? acha bana mzanaki akili mingi.....

Mla kuku wa mwenzie miguuu humuelekea!! wacha na yeye aliwe!! alikuwa ana muharibia kazi Nyerere!! alistahili hayo kwa sbabu alikuwa mporaji yeye! tena kabambe!

Kikwete anasema ukitaka kula lazima na weye uliwe kidogo! bibi titi kaliwa bila mshipa wa aibu wazee wazima mnalia lia mpaka leo!

Yeye alipora nae kaporwa ni sawa! nyerere alitenda!! kwanza bibi titi hakuwa na uchungu nazo hizo nyumba sababu hakujua hata tofali moja bei yake! achilia mbali kiwanja
 
Mwafrica pekeee Bongo land aliye pewa heshima ya kuishi uzunguni alikuwa Sir George kahama peke yake ndo alikidhi vigezo! wala siyo Bibi titi! in Colonial era!
 
Back
Top Bottom