Katika magazeti yanayoongoza kwa uwongo TZ ni Uhuru likifuatiwa kwa karibu na Habari Leo. Leo nimecheka sana gazeti la Uhuru linasema Costa 4 zilikamatwa na zilikuwa zimebeba wanachama 1,200 wa Chadema na picha za Costa zimeonyeshwa uk wa mbele. Uwongo huu utawafikisha wapi? labda ingekuwa ni kuku ndio ningeenea. Natamani CCM wapigwe chini nione UHURU itaongoza na habari gani