Elections 2010 UWIZI WA CCM HUU HAPA. WALIOJIANDIKISHA 20 MIL, JK kapata 5 MIL kawa Rais...!!!???

Obama08

Senior Member
Sep 17, 2010
181
1
Hata mwehu, tahira, or somebody unschooled at all atajua uwizi huu, haihitaji degree, masters degree or PhD ya kweli maana hapa TZ nyingi fake, kujua uwizi wa wazi huu, wala it doesn't need a minute to think such a huge vote rigging, wtu milioni 20 wamejiandikisha, halafu pamoja na kuiba/ kuchakachua JK kapa 5 milioni, Dr Slaa 2 milioni...??? No dought uwizi ni mkubwa mno, hawa watu milioni 12 wamenda wapi..?? na tunajua mwaka huu watu wamejitokeza saaaaana kupiga kura zaidi ya miaka mingine kwa hamasa ya kumpenda Dr Slaa, huu ni uwizi mbaya sana, na niseme tu, JK anajua, kila mtu anajua, atasingizia leta ushahidi, UKWELI KILA MTU KAUJUA CCM WABEIBA SAAAAAAANA, hata ndio maana maendeleo hayapo, wao na mafisadi, kweli ukistaajabu ya JK utayaona ya Chenge, sasa chenge katumwa na mafisadi agombee uspika, Mungu wangu wananchi amkeni, kote pingeni, Chenge spika???? CCM balaa, ugonjwa, hatari kubwa TZ, hta haya hawana Chenge au naota, anataka kuwa speaker..!!???? jamani utumwa bado upo TZ watu mpo kimya, tumeibiwa
 
Shame on you CCM. Watanzania amkeni CCM inajenga taifa la wezi, tunawafundisha nini vijana wetu?
 
Why did we waste resources to presidential election? Tungetumia hizo pesa kwa mambo mengine tu. Sidhani kama nina haja ya kukupa hongera yoyote maana mlishasema LAZIMA mshinde. Next time kama mtafanya hivi, msiitishe uchaguzi! Kama sio kuipenda nchi yangu ningechukua uraia wa nchi nyingine....mnaudhi sana!
 
Why did we waste resources to presidential election? Tungetumia hizo pesa kwa mambo mengine tu. Sidhani kama nina haja ya kukupa hongera yoyote maana mlishasema LAZIMA mshinde. Next time kama mtafanya hivi, msiitishe uchaguzi! Kama sio kuipenda nchi yangu ningechukua uraia wa nchi nyingine....mnaudhi sana!

Pole. Naweza kusoma hisia zako.
 
Hata mwehu, tahira, or somebody unschooled at all atajua uwizi huu, haihitaji degree, masters degree or PhD ya kweli maana hapa TZ nyingi fake, kujua uwizi wa wazi huu, wala it doesn't need a minute to think such a huge vote rigging, wtu milioni 20 wamejiandikisha, halafu pamoja na kuiba/ kuchakachua JK kapa 5 milioni, Dr Slaa 2 milioni...??? No dought uwizi ni mkubwa mno, hawa watu milioni 12 wamenda wapi..?? na tunajua mwaka huu watu wamejitokeza saaaaana kupiga kura zaidi ya miaka mingine kwa hamasa ya kumpenda Dr Slaa, huu ni uwizi mbaya sana, na niseme tu, JK anajua, kila mtu anajua, atasingizia leta ushahidi, UKWELI KILA MTU KAUJUA CCM WABEIBA SAAAAAAANA, hata ndio maana maendeleo hayapo, wao na mafisadi, kweli ukistaajabu ya JK utayaona ya Chenge, sasa chenge katumwa na mafisadi agombee uspika, Mungu wangu wananchi amkeni, kote pingeni, Chenge spika???? CCM balaa, ugonjwa, hatari kubwa TZ, hta haya hawana Chenge au naota, anataka kuwa speaker..!!???? jamani utumwa bado upo TZ watu mpo kimya, tumeibiwa

Hii ndo ile milipuko tuliokuwa tunaisubiri, hakuna sheria inayombana mwananchi kupiga kura kilichopo ni kuwaelimisha watu umuhimu wa mtu kupiga kura na kwa kiasi gani hao wasiopiga kura wanawachagua viongozi wasiowataka. Mimi binafsi ninao watu 7 ninaowafahamu walijiandikisha na hawajapiga kura. Siamini moja kwa moja huo ni wizi. Mtu kutokupiga kura ni wizi? basi kama ni wizi basi mwenye kosa na mwizi ni huyo ambaye jhajapiga kura. Sasa ni jukumu letu kama tunaridhika mtu kutokupiga kura ni kosa basi litungiwe sheria ambayo itatoa adhabu kali hawa watu wenye kujiandikisha halafu hawapigi kura.
 
where are u from, sleeping still? ww unasema watu saba hata zidisha mara 7 X 70, kisha watoe, i am talking watu zaidi ya milion 11 wahaonekani, wacha habari ya kusigizia hawajabiga kura, wachaaaaaaa, wameiba sana na kubadilisha matokeo, watu 11 milioni hawapo? na ni NEC wamethibitisha watu mil 19.6 wamejiandikisha, hata usemaji this is a big vote rigging ever
 
where are u from, sleeping still? ww unasema watu saba hata zidisha mara 7 X 70, kisha watoe, i am talking watu zaidi ya milion 11 wahaonekani, wacha habari ya kusigizia hawajabiga kura, wachaaaaaaa, wameiba sana na kubadilisha matokeo, watu 11 milioni hawapo? na ni NEC wamethibitisha watu mil 19.6 wamejiandikisha, hata usemaji this is a big vote rigging ever

Nina maana kwa mimi mwenyewe ambao ninawafahamu, naamini hata ww wapo unaowafahamu, Lazima uwe mkali kaka, lakini ndo game unaposhindwa ni kujipanga uliteleza wap, ukikalia umeibiwa miaka mitano itafika halafu ndo inakuwa sera ya kampeni halafu unategeme ushinde. Hapo hakuna cha kuibiwa ameshindwa akubali, next election aje na kitu kipya.
 
jamani mmesikia kibonde,gadina na clouds na unafiki wao aka majungu? kipindi cha leo jioni cha jahazi ambacho kimeporomoka umaarufu
1.taatrifa ya habari saa 12 jk kashinda kwa aslimia 65,(uongo mtuuuuuuuuuu) wengine hawajasema hata wamepata percentage ngapi!
wakati wanapiga matangazo wanadhani wamezima mike kumbe ziko on unafiki wao unasikika live kwa tanzania yoteeeeeeeeeeee
2.mwanangong"a live dogo wa show ya 20 za town wa tv yao wenyeweeeeeeeeeeee
3.wanamponda erick shigogo kuwa hafanyi kile anachokisema kwenye street university! baada ya kupiga tangazo la street university la shigongo
gadina nasema "yeye ndo anafanya hivyo?
 
Nina maana kwa mimi mwenyewe ambao ninawafahamu, naamini hata ww wapo unaowafahamu, Lazima uwe mkali kaka, lakini ndo game unaposhindwa ni kujipanga uliteleza wap, ukikalia umeibiwa miaka mitano itafika halafu ndo inakuwa sera ya kampeni halafu unategeme ushinde. Hapo hakuna cha kuibiwa ameshindwa akubali, next election aje na kitu kipya.

ni distance inatutenganisha mm na ww, if i am close to u, ungejua, what i am saying, Nasema tena Loud and Clear, Dr Slaa is my President no one, no mkwere, can take that from me, he was, he is, he will be, juzi, jana, leo, kesho. milele, period, i am serious ww ongea tu maneno
 
Why did we waste resources to presidential election? Tungetumia hizo pesa kwa mambo mengine tu. Sidhani kama nina haja ya kukupa hongera yoyote maana mlishasema LAZIMA mshinde. Next time kama mtafanya hivi, msiitishe uchaguzi! Kama sio kuipenda nchi yangu ningechukua uraia wa nchi nyingine....mnaudhi sana!

Hapa ndipo na mimi nilikuwa najiuliza, kama JK alijua ana ushindi wa mezani tayari kwanini kutumia pesa za walipa kodi (maana alichukua pesa hazina) kuzitapanya hovyo namna ile? Si zingeweza kutatua matatizo mengi tu ikiwamo madawati kwenye shule ambazo watoto wanakaa chini n.k? Mbaya sana hii. Naona ulikuwa ni mradi wa mtu kufyeka hayo mabilioni ya umma in the name of JK kampeni.
 
Ni kweli turnout mwaka huu ilikuwa kubwa sana pamoja na kuiba inadhihirisha yaliyosemwa kura za slaa zilikuwa zinapunguzwa.Ni kitu kisichoingia akilini hata ukifanya uchunguzi kwenye mazingira unayoishi raia wengi wanalalamikia wizi na kutokuwa na imani ya matokeo.Sasa kama wameiba wakiwa na lengo la kufikisha 81pc lakini ndio ikafika 61 ni dhahiri Dr ameshinda na sie wanamapinduzi wa kweli kwenye mioyo yetu itasomeka rais wa kuteuliwa ni Dr na sio huyu dhalimu
 
Hapa ndipo na mimi nilikuwa najiuliza, kama JK alijua ana ushindi wa mezani tayari kwanini kutumia pesa za walipa kodi (maana alichukua pesa hazina) kuzitapanya hovyo namna ile? Si zingeweza kutatua matatizo mengi tu ikiwamo madawati kwenye shule ambazo watoto wanakaa chini n.k? Mbaya sana hii. Naona ulikuwa ni mradi wa mtu kufyeka hayo mabilioni ya umma in the name of JK kampeni.

Nakubaliana na wewe kabisa,tusubiri tuone hazina haitakuwa na hela kabisa,fuatilia trend ya fedha kwa kipindi cha miezi sita,not only that hata mishahara ya wafanyakazi kadhaa hawajalipwa ni tabu tupu,inatia huruma kwa watanzania ambao hawaelewi,lakini naamini Mungu anasikia Kilio cha watu kwani sikio lake siyo zito hata ashindwe kusikia maombi ya watu.Enzi za wamisiri katika biblia zinaonyesha Farao hakuwaachia waisirael kwa urahisi,ndivyo ilivyo CCM wakati utafika na wala si mbali tutakuwa huru.
 
Ni kweli kuwa watu wengi hawakupiga kura.la kuuliza ni kwa nini. Kama wapiga kura wengi ni vijans imekuwaje hawakupiga kura.kwa maoni yangu watu wengi waliwahi asubuhi na kusababisha msongano hivyo wengine wakaondoka bila kupiga kura na kutokurudi tena. Wengine walijiandikisha kupata vitbulisho tu hawakuwa na mpango wa kupiga kura na wengine wagonjwa au wamesafiri toka vituo vyao vya kupiga kura.inawezekana kulikuwa na uchakachuaji kwa baadhi ya maeneo lakini Dr Slaa hangeweza kupata kura za kutosha kuwa Rais. Watu wengine walienda kwenye kampeni zake kumsikiliza tu hata Kama hayuko CHADEMA au hajajiandikisha kupiga kura.Dr Slaa ametoa changamoto safi sana kwa CCM lakini wananchi wengi hawakumpa kura za Urais hivyo tumpe JK mwezi mmoja kuona Kama somo limemuingia akilini na moyoni.
 
Hata mwehu, tahira, or somebody unschooled at all atajua uwizi huu, haihitaji degree, masters degree or PhD ya kweli maana hapa TZ nyingi fake, kujua uwizi wa wazi huu, wala it doesn't need a minute to think such a huge vote rigging, wtu milioni 20 wamejiandikisha, halafu pamoja na kuiba/ kuchakachua JK kapa 5 milioni, Dr Slaa 2 milioni...??? No dought uwizi ni mkubwa mno, hawa watu milioni 12 wamenda wapi..?? na tunajua mwaka huu watu wamejitokeza saaaaana kupiga kura zaidi ya miaka mingine kwa hamasa ya kumpenda Dr Slaa, huu ni uwizi mbaya sana, na niseme tu, JK anajua, kila mtu anajua, atasingizia leta ushahidi, UKWELI KILA MTU KAUJUA CCM WABEIBA SAAAAAAANA, hata ndio maana maendeleo hayapo, wao na mafisadi, kweli ukistaajabu ya JK utayaona ya Chenge, sasa chenge katumwa na mafisadi agombee uspika, Mungu wangu wananchi amkeni, kote pingeni, Chenge spika???? CCM balaa, ugonjwa, hatari kubwa TZ, hta haya hawana Chenge au naota, anataka kuwa speaker..!!???? jamani utumwa bado upo TZ watu mpo kimya, tumeibiwa

Kuna msemo wa kiswahili unakwenda hivi "kama elimu ni gharama basi jaribu ujinnga". Hicho ndicho kinachotuumiza watanzania. Ujinga wetu watanzania ndiyo unaotufanya kuwa maskini katikati ya rasilimali nyingi tulizojaliwa na Mwenyezi Mungu. Mtaji wa ccm ni ujinga wetu watanzania. Kwa ujinga wetu hatutambui hata haki zetu. Tunaonewa lakini tunaendelea kushangilia tu, tunaibiwa kura lakini tunaendelea kushangilia tu. Na jambo ambalo labda wananchi wengi hawajatambua ni kwamba wanachama wenye sauti na nguvu ya maamuzi ndani ya ccm wengi wao ni darasa la saba tu. Maprofesa, madaktari, na wasomi wa kila aina wapo ccm lakini hawana nafasi kwenye maamuzi yanayoathiri mwelekeo wa nchi yetu.

Mbinu nzuri inayoweza kutumiwa na wapinzani kwa sasa ni kuendelea kuongeza wabunge wa upinzani ili hatimaye katiba ya nchi na sheria mbalimbali kandamizi ziondolewe na kuwekwa katiba na sheria zinazowapa wananchi nguvu ya kuamua mustakabali wa maisha yao.

Pipooooooooooooooooooooooooooooz ..........................
 
kwa wizi huuu wa wazi ckutukiamua kutokupiga kura kabisa itakuwaje.

au tuanzishe utaratibu mpya kabisa yani badala ya kupiga kura kwa karatasi tuwe tunapanga mistari wanamtaka slaa kaeni mtsari huu ila naamini ata kwa staili hii watachakachua tu
 
I am smelling something here.......................................................
 
Hii ndio janja ya CCM , wamepoteza majina ya watu mil 12? Ni kwamba walipita nyumba hadi nyumba wakajua watu wao'then wakaamua kupoteza majina ya watu wote ambao hawakueleweka itokadi zao. Lakini je, kwani hamna haki ya kudai? Tunaongozwa na udikteta?
 
hii ndo ile milipuko tuliokuwa tunaisubiri, hakuna sheria inayombana mwananchi kupiga kura kilichopo ni kuwaelimisha watu umuhimu wa mtu kupiga kura na kwa kiasi gani hao wasiopiga kura wanawachagua viongozi wasiowataka. Mimi binafsi ninao watu 7 ninaowafahamu walijiandikisha na hawajapiga kura. Siamini moja kwa moja huo ni wizi. Mtu kutokupiga kura ni wizi? Basi kama ni wizi basi mwenye kosa na mwizi ni huyo ambaye jhajapiga kura. Sasa ni jukumu letu kama tunaridhika mtu kutokupiga kura ni kosa basi litungiwe sheria ambayo itatoa adhabu kali hawa watu wenye kujiandikisha halafu hawapigi kura.

tatizo sio kuelimisha wananchi, hata hao walioenda kupiga kura mbona wamerudishwa?
 
Hata mwehu, tahira, or somebody unschooled at all atajua uwizi huu, haihitaji degree, masters degree or PhD ya kweli maana hapa TZ nyingi fake, kujua uwizi wa wazi huu, wala it doesn't need a minute to think such a huge vote rigging, wtu milioni 20 wamejiandikisha, halafu pamoja na kuiba/ kuchakachua JK kapa 5 milioni, Dr Slaa 2 milioni...??? No dought uwizi ni mkubwa mno, hawa watu milioni 12 wamenda wapi..?? na tunajua mwaka huu watu wamejitokeza saaaaana kupiga kura zaidi ya miaka mingine kwa hamasa ya kumpenda Dr Slaa, huu ni uwizi mbaya sana, na niseme tu, JK anajua, kila mtu anajua, atasingizia leta ushahidi, UKWELI KILA MTU KAUJUA CCM WABEIBA SAAAAAAANA, hata ndio maana maendeleo hayapo, wao na mafisadi, kweli ukistaajabu ya JK utayaona ya Chenge, sasa chenge katumwa na mafisadi agombee uspika, Mungu wangu wananchi amkeni, kote pingeni, Chenge spika???? CCM balaa, ugonjwa, hatari kubwa TZ, hta haya hawana Chenge au naota, anataka kuwa speaker..!!???? jamani utumwa bado upo TZ watu mpo kimya, tumeibiwa

Tuamkaje? Lete mikakati
 
Back
Top Bottom