Misungwi Yetu
Senior Member
- Oct 7, 2017
- 103
- 39
Jamani tulisema kuna hila zimefanyika huku Mikoani katika kuwapata Wadadisi Mapato na Matumizi Kaya binfsi (HBS).
Hadi tarehe ya mwisho kutuma Maombi ya kazi hiyo (tarehe 12/08/2017) kwenye kijiji chetu tulikuwa waombaji sita tuu.
Wamefanya mchakato wao wa ujanja ujanja kwa kudai eti wamepigia simu wasailiwa, lakini tulipofuatilia kwa Mwenyekiti wetu wa kijiji alituhakikishia orodha ya majina yetu na kutuahidi kuwa upande wetu hadi dakika za mwisho. Leo wametoa majina ya watu wao
Mungu anawaona NBS, Mungu anawaona Viongozi wa Serikali mliofumbia macho ufisadi huu licha ya kuwaletea malalamiko yetu tangu mwanzo.
Hadi tarehe ya mwisho kutuma Maombi ya kazi hiyo (tarehe 12/08/2017) kwenye kijiji chetu tulikuwa waombaji sita tuu.
Wamefanya mchakato wao wa ujanja ujanja kwa kudai eti wamepigia simu wasailiwa, lakini tulipofuatilia kwa Mwenyekiti wetu wa kijiji alituhakikishia orodha ya majina yetu na kutuahidi kuwa upande wetu hadi dakika za mwisho. Leo wametoa majina ya watu wao
Mungu anawaona NBS, Mungu anawaona Viongozi wa Serikali mliofumbia macho ufisadi huu licha ya kuwaletea malalamiko yetu tangu mwanzo.