amu JF-Expert Member Aug 8, 2012 16,103 30,991 Dec 16, 2012 #1 Nimekuja kuwasalimia kabla hawajanifunga maana leo kuna lijitu limenichokonoa.....
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,938 93,824 Dec 17, 2012 #2 amu said: Nimekuja kuwasalimia kabla hawajanifunga maana leo kuna lijitu limenichokonoa..... Click to expand... limekuchokonoa sehemu gani ya maungo ya mwili wako....?? karibu JF mgeni in advance....
amu said: Nimekuja kuwasalimia kabla hawajanifunga maana leo kuna lijitu limenichokonoa..... Click to expand... limekuchokonoa sehemu gani ya maungo ya mwili wako....?? karibu JF mgeni in advance....
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,781 Dec 17, 2012 #3 Hahaha, unajitabiria kifo na kumpa offender wako ushindi? Dawa ya anaekuudhi ni kumcheka. Anakasirika yeye na wewe unapeta tuuuu.
Hahaha, unajitabiria kifo na kumpa offender wako ushindi? Dawa ya anaekuudhi ni kumcheka. Anakasirika yeye na wewe unapeta tuuuu.