kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,573
Lengo la uzi huu sio kukosoa wa kejeli bali kupata uwezo na data za kueleweka kuhusu bidhaa toka nje ya nchi!
Kama taifa tumeshindwa kutengeneza magari, dawa flani,ndege au mashine mbalimbali ina maana kuna kitu tumepungukiwa either teknolojia,fedha wataalam n.k
kama kitu kimetushinda je tunaweza kupima ubora wake? Maana hawa watengenezaji wanaweka foji baadhi ya vitu au kupunguza ubora ili tuu wafanye biashara na sisi.
Kuna bidhaa watengenezaji wameficha formula walizotumia ila wajanja wasicopy na kupest! kama hujui formula aliyotumia utaweza kupima ubora?
Je kama bidhaa imekushinda kutengeneza utaweza kupima ubora wake?
Kama taifa tumeshindwa kutengeneza magari, dawa flani,ndege au mashine mbalimbali ina maana kuna kitu tumepungukiwa either teknolojia,fedha wataalam n.k
kama kitu kimetushinda je tunaweza kupima ubora wake? Maana hawa watengenezaji wanaweka foji baadhi ya vitu au kupunguza ubora ili tuu wafanye biashara na sisi.
Kuna bidhaa watengenezaji wameficha formula walizotumia ila wajanja wasicopy na kupest! kama hujui formula aliyotumia utaweza kupima ubora?
Je kama bidhaa imekushinda kutengeneza utaweza kupima ubora wake?