Hapo ni sawa na kumchinja mbuzi au kuku. Usitegemee ukimkata shingo atakata robo hapo hapo., Lazima ajiviringishe.Mbona mimi niliko sijaona kibanda cha m pesa hata kimoja kimefunga? Hoja yako Inge make sense kama Serikalini ingeahindwa kukusanya pesa Kwa maana ya kwamba watu wametafuta mbinu zingine.
Kinyume na hapo unaongea hekaya tuu.
Porojo as gwajiboy eti baada ya miaka 5 sijui watu watakuaje,thibitisha kisayansi ooh mm ni mtumishi nimeoneshwa pumbavuHapo ni sawa na kumchinja mbuzi au kuku. Usitegemee ukimkata shingo atakata robo hapo hapo., Lazima ajiviringishe.
Hao ambao hawajafunga kawaulize wanasubiri nini? Utapata jibu. Usisahau kuleta mlejesho.
Hivi sasa wanaitwa "Anti Maushungi Gang".Mada kama hizi zilikua zinafanya mtu aitwe "Sukuma Gang"
Sasa hivi sijui wanaitwaje..🤣
Chanzo sio SSH bali ni JPM,yeye alitudanganya kuwa kwa kiwago kikubwa anatumia pesa za kodi zetu, kutekeleza Mega Projects kutokana na kodi zetu,kwamba hakopi nje,na hakikopa ni kwa kiwago kidogo,kumbe kakopa over 31 trillions shillings kwa kipindi kifupi tu cha miaka 5.Wabongo wanapenda sana kulialia.
Mama mitano tena
#KaziIendelee
Nilikuwa nataka niandika the same thing lkn ukweli WATANZANIA walio wengi ufahamu wao ni mdogo sn.NDUGU ZANGU KINACHOONEKANA SASA HIVI KUHUSU UCHUMI NA KUKOSEKANA FEDHA KATIKA MZUNGUKO NI MATOKEO YA UTAWALA WA MIAKA 6 YA AWAMU YA TANO. YAANI NDIO TUMEFIKA KILELENI NA HAKIKA AWAMU YA TANO INGEENDELEA NI DHAHIRI WANANCHI WANGEKUA FUKARA WA KUTUPWA. HALI HII HAIHUSIANI KABISA NA AWAMU YA SITA. JITAHADA ZA AWAMU YA SITI KUREJESHA FEDHA KWENYE MZUNGUKO YANAWEZA KUONEKANA BAADA YA MIAKA MITATU IJAYO BAADA YA JUHUDI KUBWA.
Okay kwahio hizo tozo ndio zinalipa madeni ya JPM sio. Kazi ipo.Chanzo sio SSH bali ni JPM,yeye alitudanganya kuwa kwa kiwago kikubwa anatumia pesa,yaani zetu kutekeleza Mega Projects kutokana na kodi zetu,kwamba hakopi nje,na hakikopa ni kwa kiwago kidogo,kumbe kakopa over 31 trillions shillings kwa kipindi kifupi tu cha miaka 5.
Kibaya zaidi alikopa kutoka commercial banks ambazo interest rate ni kubwa na muda wa kurudisha deni ni mfupi ukilinganisha na benki kama World Bank au IMF,
Magufuli katufanyia mengi mazuri lakini hili la mikopo na kufanya miradi mikubwa kwa kushutukia itatuendesha kwa muda mrefu.
Ni kweli kabisa hizi tozo zote na Kodi ya uzalendo ni jitihada za kurudisha pesa kwenye mzunguko. Mama mitano tenaNDUGU ZANGU KINACHOONEKANA SASA HIVI KUHUSU UCHUMI NA KUKOSEKANA FEDHA KATIKA MZUNGUKO NI MATOKEO YA UTAWALA WA MIAKA 6 YA AWAMU YA TANO. YAANI NDIO TUMEFIKA KILELENI NA HAKIKA AWAMU YA TANO INGEENDELEA NI DHAHIRI WANANCHI WANGEKUA FUKARA WA KUTUPWA. HALI HII HAIHUSIANI KABISA NA AWAMU YA SITA. JITAHADA ZA AWAMU YA SITI KUREJESHA FEDHA KWENYE MZUNGUKO YANAWEZA KUONEKANA BAADA YA MIAKA MITATU IJAYO BAADA YA JUHUDI KUBWA.
None sense kabisa hii,NDUGU ZANGU KINACHOONEKANA SASA HIVI KUHUSU UCHUMI NA KUKOSEKANA FEDHA KATIKA MZUNGUKO NI MATOKEO YA UTAWALA WA MIAKA 6 YA AWAMU YA TANO. YAANI NDIO TUMEFIKA KILELENI NA HAKIKA AWAMU YA TANO INGEENDELEA NI DHAHIRI WANANCHI WANGEKUA FUKARA WA KUTUPWA. HALI HII HAIHUSIANI KABISA NA AWAMU YA SITA. JITAHADA ZA AWAMU YA SITI KUREJESHA FEDHA KWENYE MZUNGUKO YANAWEZA KUONEKANA BAADA YA MIAKA MITATU IJAYO BAADA YA JUHUDI KUBWA.
Mkuu sijui hiyo pesa inafanya kazi ipi.Okay kwahio hizo tozo ndio zinalipa madeni ya JPM sio. Kazi ipo.
Ngoja tusuburi baada ya miaka mitatu tuone hali ya wananchi itakuwaje, kwa huu mfumo wa tozo na Kodi lukuki usitegemee mzunguko wa fedha kuwa mzuri, fedha itakuwa inarudi serikalini kwa asilimia kubwa na watu watabaki hawana kitu.NDUGU ZANGU KINACHOONEKANA SASA HIVI KUHUSU UCHUMI NA KUKOSEKANA FEDHA KATIKA MZUNGUKO NI MATOKEO YA UTAWALA WA MIAKA 6 YA AWAMU YA TANO. YAANI NDIO TUMEFIKA KILELENI NA HAKIKA AWAMU YA TANO INGEENDELEA NI DHAHIRI WANANCHI WANGEKUA FUKARA WA KUTUPWA. HALI HII HAIHUSIANI KABISA NA AWAMU YA SITA. JITAHADA ZA AWAMU YA SITI KUREJESHA FEDHA KWENYE MZUNGUKO YANAWEZA KUONEKANA BAADA YA MIAKA MITATU IJAYO BAADA YA JUHUDI KUBWA.
UmeelewekaChanzo sio SSH bali ni JPM,yeye alitudanganya kuwa kwa kiwago kikubwa anatumia pesa za kodi zetu, kutekeleza Mega Projects kutokana na kodi zetu,kwamba hakopi nje,na hakikopa ni kwa kiwago kidogo,kumbe kakopa over 31 trillions shillings kwa kipindi kifupi tu cha miaka 5.
Kibaya zaidi alikopa kutoka commercial banks ambazo interest rate ni kubwa na muda wa kurudisha deni ni mfupi ukilinganisha na benki kama World Bank au IMF,
Magufuli katufanyia mengi mazuri lakini hili la mikopo na kufanya miradi mikubwa kwa kushutukia itatuendesha kwa muda mrefu.
Acha kulala ma ndgu, ata kama Alikopa lkn fedha zilifany kaz iliyotakiwaUmeeleweka
Zanzibar ama msoga gangMada kama hizi zilikua zinafanya mtu aitwe "Sukuma Gang"
Sasa hivi sijui wanaitwaje..🤣
On a serious note,mada hii ni muhimu...