Uwezo wa NIMR unafikirisha kutoa Tiba Lishe ya kufubaza Virus vya UKIMWI, tunaweza kuacha na ARV zenye masharti

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,767
7,115
Wana JF.

Tangu uwepo ugonjwa wa Corona, mapambano ambayo NIMR imeyafanya , imejiongezea umaarufu na kujikutabinajulikana sana baada ya kutengeneza Tiba lishe mbali mbali kupambana na COVID19. Kabla ya hapo watanzania wengi walikuwa hawajui kama kuna kitu kama NIMR kinafanya utafiti wa Tiba mbalimbali.

Corona imetuamsha kuwa waafrika sasa tunaweza kuachanabna dawa za kiulaya ulaya tukatengeneza zetu ili kukwepa mikono ya mabeberu ambayo kwa kiasi kikubwa wanataka kutuingiza kwenye New World Order.

Kwa ufupi nimeona NIMR inaweza kutengeneza dawa Tiba lishe kukabiliananna kufubaza virus vya ukimwi tukaondokana na kutishwa tishwa na mataifa ya nje. ARV imetolewa muda mrefu, hivyo hawa watafiti hawawezi kishindwa kujua kilichomo kwenye dawa hizi.

Kama China wanacopy kila aina ya technology kwanini nasi watanzania tukafanya hivyo? NIMR ni wakati wa kukopi madawa mbali mbali mengine kuyaongezea uwezo kwani tumeanza kuwa na imani nao. Chini ya Rais wetu Magufuri tunaweza.
 
Hatua nzuri ila hawata kutana na mkono wa mabeberu kweli kwa kuua biashara yao ya ARV..??!
Hata hivyo waafrika ngumu kuaminiana na hapa ndipo tunapoanguka!..

Mkuu halafu ni tiba sio Tina na huyo tuna akuache maana muda si mrefu tutashihudia mengi..😅
 
Utanisamehe, do you believe hizi concoctions za NIMR zinaua virus? seriously? Are these herbs new in our daily lives with our diseases? Zimetumika from time immemorial na magonjwa yakatumaliza mpaka hapo wazungu walipokuja na modern medicine. Kwahiyo unaamini kujifukiza? Kwani kujifukiza hakukuwepo tangu dunia inaumbwa?

Unaamini wazungu lishe yao ni duni ndiyo maana wameshindwa kukabiliana na corona? NIMR wametengeneza lishe bora kuliko lishe ya kila siku ya wazungu? (inawezekana).

Kumbuka plagiarism is an international crime and a civil wrong!

Washauri waende kwenye modern solutions to evolving and re-emerging diseases, traditional herbs with modern approaches, siyo kuwa encourage kuchemsha miti na kunywa/kujifukiza
 
Utanisamehe, do you believe hizi concoctions za NIMR zinaua virus? seriously? Are these herbs new in our daily lives with our diseases? Zimetumika from time immemorial na magonjwa yakatumaliza mpaka hapo wazungu walipokuja na modern medicine. Kwahiyo unaamini kujifukiza? Kwani kujifukiza hakukuwepo tangu dunia inaumbwa?
Unaamini wazungu lishe yao ni duni ndiyo maana wameshindwa kukabiliana na corona? NIMR wametengeneza lishe bora kuliko lishe ya kila siku ya wazungu? (inawezekana)...
Kumbuka plagiarism is an international crime and a civil wrong!
Washauri waende kwenye modern solutions to evolving and re-emerging diseases, traditional herbs with modern approaches, siyo kuwa encourage kuchemsha miti na kunywa/kujifukiza
Mbona Dr. Sebi amewahi kutumia miti shamba na akaweza. Kwenye makala yangu hakuna nilipoongelea kujifukiza, hata NIMR hawakuwahi kitangaza njia hii kama Tiba ila uelekeo wao ni mzurinna wapo pale kwa ajiri ya tafiti, kwa wanachokiweza wakitoe au kama hawana maana basi tuachane nao. Uwezi kuwalipa watu wafanye tafiti miaka yote wasitoe matokeo
 
Usilinganishe HIV na virusi vingine.

Hata upate lishe bora ya namna gani ,bila kutumia ARVs utaondoka mapema.
Hujui kitu kuhusu hicho kirusi, Nina vivid examples za watu wangu ninao wafahamu kwa ukaribu sana, hawajawahi tumia ARVs kamwe na niwaathirika wa muda mrefu. You can’t even tell that they have been infected with the virus.

Upungufu wa kinga hasa kabla hazijashuka sana dawa yake ni lishe tu, period, tuwe tunajipima mala kwa mala.
 
Hujui kitu.
Hujui kitu kuhusu hicho kirusi, Nina vivid examples za watu wangu ninao wafahamu kwa ukaribu sana, hawajawahi tumia ARVs kamwe na niwaathirika wa muda mrefu. You can’t even tell that they have been infected with the virus.

Upungufu wa kinga hasa kabla hazijashuka sana dawa yake ni lishe tu, period, tuwe tunajipima mala kwa mala.
 
Utanisamehe, do you believe hizi concoctions za NIMR zinaua virus? seriously? Are these herbs new in our daily lives with our diseases? Zimetumika from time immemorial na magonjwa yakatumaliza mpaka hapo wazungu walipokuja na modern medicine. Kwahiyo unaamini kujifukiza? Kwani kujifukiza hakukuwepo tangu dunia inaumbwa?
Unaamini wazungu lishe yao ni duni ndiyo maana wameshindwa kukabiliana na corona? NIMR wametengeneza lishe bora kuliko lishe ya kila siku ya wazungu? (inawezekana)...
Kumbuka plagiarism is an international crime and a civil wrong!
Washauri waende kwenye modern solutions to evolving and re-emerging diseases, traditional herbs with modern approaches, siyo kuwa encourage kuchemsha miti na kunywa/kujifukiza
Nikupinge kwa hoja yako kwamba eti magonjwa yalitumaliza mpaka wazungu walipokuja na dawa zao, inawezekana hufuatilii ya duniani zaidi ya kubase kwetu tu. Unajua ni kwa kiasi gani magonjwa kama kansa yanavyowamaliza wazungu?

Hayo magonjwa yaliyotumaliza mbona bado tupo na population imekuwa ikiongezeka from day to day, na sio kwamba majority wapo under those western meds. Believe in yourself my fellow, we have all due requirements essential for our health’ complications, nature imecompile kila kitu, your food is your medicine.
 
Mbona Dr. Sebi amewahi kutumia miti shamba na akaweza. Kwenye makala yangu hakuna nilipoongelea kujifukiza, hata NIMR hawakuwahi kitangaza njia hii kama Tiba ila uelekeo wao ni mzurinna wapo pale kwa ajiri ya tafiti, kwa wanachokiweza wakitoe au kama hawana maana basi tuachane nao. Uwezi kuwalipa watu wafanye tafiti miaka yote wasitoe matokeo
Kwahiyo yale maji ya NIMR ya kuchanganya changanya majani na mizizi unaona ndiyo inamaliza Corona kwa kufikiri? Halafu eti unawashauri watengeneze ya kupambana na HIV? Mungu pitisha mbali maana kwa akili zenu hamshindwi kupotoshana.
 
Kwahiyo yale maji ya NIMR ya kuchanganya changanya majani na mizizi unaona ndiyo inamaliza Corona kwa kufikiri? Halafu eti unawashauri watengeneze ya kupambana na HIV? Mungu pitisha mbali maana kwa akili zenu hamshindwi kupotoshana.
Haya madawa ya blista nayo yalianza hivyo. Msione vidonge kama kwamba vimechimbwa navyo vilianza kamaajimaji
 
Utanisamehe, do you believe hizi concoctions za NIMR zinaua virus? seriously? Are these herbs new in our daily lives with our diseases? Zimetumika from time immemorial na magonjwa yakatumaliza mpaka hapo wazungu walipokuja na modern medicine. Kwahiyo unaamini kujifukiza? Kwani kujifukiza hakukuwepo tangu dunia inaumbwa?
Unaamini wazungu lishe yao ni duni ndiyo maana wameshindwa kukabiliana na corona? NIMR wametengeneza lishe bora kuliko lishe ya kila siku ya wazungu? (inawezekana)...
Kumbuka plagiarism is an international crime and a civil wrong!
Washauri waende kwenye modern solutions to evolving and re-emerging diseases, traditional herbs with modern approaches, siyo kuwa encourage kuchemsha miti na kunywa/kujifukiza
Hakuna modern bila traditional, modern ni finishing tu lkn dawa asilimia kubwa zinatokana na asili hata arteminisia annua ya malaria
 
Hakuna modern bila traditional, modern ni finishing tu lkn dawa asilimia kubwa zinatokana na asili hata arteminisia annua ya malaria
Dawa ya NIMR ya COVID-19 sio ya traditional wala Modern.Ni kudanganya watu tu.Eti uchukue pili pili kichaa na tangawizi na vitungu swaumu ublend katika mashine kisha unasema ni dawa...hahaha.

ILI ugundue dawa ya kirusi ni lazima ujifunze kuhusu kirusi husika na tabia zake.Ndio njia hii hii ilitumia kugundua ARV.
 
Waongezewe uwezo, wajiamini,

Mungu aliumba dunia na tiba zote kutuzunguka hapo hapo


Nyani, tembo, twiga, simba hawaagizi madawa kutoka nje, they treat themselves naturally huko maporini

Dunia imeumbwa perfect na creator did his job amazingly, superbly

Kujifanya tumesoma, maendeleo n. K tukasahau asili

Corona imetukumbusha, solutions zinaishi na sisi, we. Just need to pay attention, kuresearch na kurithishwa


Vya kuagiza nje viwe technologia
 
Hujui kitu kuhusu hicho kirusi, Nina vivid examples za watu wangu ninao wafahamu kwa ukaribu sana, hawajawahi tumia ARVs kamwe na niwaathirika wa muda mrefu. You can’t even tell that they have been infected with the virus.

Upungufu wa kinga hasa kabla hazijashuka sana dawa yake ni lishe tu, period, tuwe tunajipima mala kwa mala.
FB_IMG_1592859209678.jpg
FB_IMG_1592859209678.jpg
 
Back
Top Bottom