Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,445
Polen sanaMbona huwa inatokea sana tu mfano marehemu alisema nikifa nizikwe sehemu flani. Halafu nyie wanandugu mlete ujuaji mumzike mnapotaka ninyi hapo ndio mtatia akili. Kipindi flani nilisindikiza maiti kutoka Mbeya kwenda Moshi, Acha kabisa majanga yake kumbe Marehemu alishawahi kusema akifa azikwe kwenye eneo la nyumba yake ambayo ilikua Mbeya. Ilibidi mzee mmoja wa kichaga afanye mambo ndio ngoma ikakubali.