Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ajabu hii ni hoja ya mwanachama msomi wa Chadema!Kwasasa Tanzania yetu ukienda kwenye interview hata Kama nafasi ya wahitimu wa darasa la saba mnachujwa kwa kufaham kiingereza inakuaje uko kwa madiwani na wabunge interview zao zinakua za kiswahili wakati ni nafasi muhimu sana.
Serikali ijayo Wiele shule za maalum kila kata kwa watoto wanaopata alama za juu. Shule hizi zianze kuongea Kiingereza kama lugha uingiapo shuleni. Na kuwe na maabara za sayansi kuanzia sekondari.
Ukizingatia kwamba Jumuia ya Madola ilitawala 3/4 ya dunia. Kiingereza ni muhimu kwa mawasiliano duniani. Unahitaji mawasiliano katika biashara na uchumi uanategemea biashara.Mimi Mkenya hapa, napita kimya nikisoma nyuzi zenu hizi kila siku mnatuponda kwa kuwazidi uwezo wa kuongea kingereza, naona taratibu mumeanza kutia akili na kuelewa umuhimu wa hii lugha ya malkia hapa duniani.
Wachina, Wajapani, Warusi n.k. kote kote wanahangaika wakikeshea kusoma kingereza, mwafrika umekwama kisa uzembe huku ukijiliwaza eti ni lugha ya mkoloni, ilhali kila ulicho nacho hapo kimeandikwa kwa kingereza, simu, tarakilishi, na bidhaa zote unazoagiza na hata unazozalisha.
Mikataba ya madini na kila aina ya raslimali yote imeandikwa kwa kingereza, na ulivyo mzembe kwenye kusoma mikataba ya kingereza huwa unaomba uonyeshwe wapi pa kutia saini tu basi.
Ili iweje! Wananchi wote wanazungumza kiswahili sisi tuwapitishe viongozi wetu kwa kizungu?Kwasasa Tanzania yetu ukienda kwenye interview hata Kama nafasi ya wahitimu wa darasa la saba mnachujwa kwa kufaham kiingereza inakuaje uko kwa madiwani na wabunge interview zao zinakua za kiswahili wakati ni nafasi muhimu sana.
Sisi hapa kwetu tunatumia kinyasa na kiwemba, hicho kiinglishi tupa kuleeeeKwasasa Tanzania yetu ukienda kwenye interview hata Kama nafasi ya wahitimu wa darasa la saba mnachujwa kwa kufaham kiingereza inakuaje uko kwa madiwani na wabunge interview zao zinakua za kiswahili wakati ni nafasi muhimu sana.
Kwa Rais ni rahisi manake kazungukwa na wataalamu lukuki, anaweza pata msaada, mashaka yangu siku zote uwa ni Kwa madiwani ambao wao ndio wanakaa kwenye tender boards za local governments.. tender documents nyingi zinajazwa Kwa kimombo,wasipojua lugha si ni rahisi kuingizwa chaka!?Jamani kutumia kingereza kama chujio kunamtia kwenye hatihati mgombea urais kwa tiketi ya CCM.
Hii nimeichukua pamoja na tehama.Ni mambo muhimu sana.Kuwekeza katika elimu ya utotoni-Early childhood education.Serikali ijayo Wiele shule za maalum kila kata kwa watoto wanaopata alama za juu. Shule hizi zianze kuongea Kiingereza kama lugha uingiapo shuleni. Na kuwe na maabara za sayansi kuanzia sekondari.
Kwasasa Tanzania yetu ukienda kwenye interview hata Kama nafasi ya wahitimu wa darasa la saba mnachujwa kwa kufaham kiingereza inakuaje uko kwa madiwani na wabunge interview zao zinakua za kiswahili wakati ni nafasi muhimu sana.
UmenenaJamani kutumia kingereza kama chujio kunamtia kwenye hatihati mgombea urais kwa tiketi ya CCM.
Huna ufahamu maana hizi nchi zote ulizotaja wanakijua kiingereza mpaka marais wao!! Fanya research utoke gizani.Si uhamie uingereza ili uwe na kiingereza, nyie ndo watumwa wa fikra, miaka yote tunasema kiswahilinkitumike kuwafundisha wanafunzi lakini nyie na kiingereza tu, hicho kiingereza si ukisome kwa muda wake ukikitaka?
Mbona kuna waRusi hawajui kiingereza na wafaransa pia waeshia lakini wameendelea,
Nyie masikini wa africa ndo mnashebedua viuno eti kiingereza,
Huna ufahamu maana hizi nchi zote ulizotaja wanakijua kiingereza mpaka marais wao!! Fanya research utoke gizani.
Una maana mzee wa intaperenyua?Jamani kutumia kingereza kama chujio kunamtia kwenye hatihati mgombea urais kwa tiketi ya CCM.