kwenye kula wadudu ndio anaponishangaza maana anasemaga kuna wadudu wakuliwa na ambao sio wa kuliwa,anakulaga chura live ila kuna chura anasema hutakiwi kuwala maana wana sumu hatari hata nyoka hafui dafu.Aliona Buibui kwenye Ice cream akasema eti "There is icec ream on my spider.."
Hahaa jamaa aliyoa ice cream akala spider..
Kwa kuongezea, leo sio entertainment hasa, bali ni kufundisha mbinu za ku-survive ukijikuta kwenye mazingira magumu/hatarishi/yasiyo ya kawaida. Ndio hasa lengo la vipindi vyake.Huyu ni british Ex commando anao ujasiri wa kiaskari na uwezo wa kutumia mazingira yaliyo nayo kuishi. Kumbuka anarekodiwa hivyo unayoona ni intertainment
Huyo mjomba nomaa namfatilia sana na wale naked wawili msituni wanajalibu kuishi bila mavazi kama zama zile za mwanzo sometime unajiuliza hivi huyo mjomba hadisi(hasimamishi mguu wa mtoto) anavyotembea na huyo demu polini? nomaaNI KWELI ila kwa huyu jamaa pamoja na
urahisi ila anapitia magumu hadi unajiuliza ni
pesa tu anatafuta au kuna jingine?
Hao naked wawili wanapatikana decoder gani mkuu?Huyo mjomba nomaa namfatilia sana na wale naked wawili msituni wanajalibu kuishi bila mavazi kama zama zile za mwanzo sometime unajiuliza hivi huyo mjomba hadisi(hasimamishi mguu wa mtoto) anavyotembea na huyo demu polini? nomaa
People are making money out of intertainment industry
Hao wanaomrekodi video, sauti, mwanga wanakula nini??
Chanel hiyo hiyo discover dstvHao naked wawili wanapatikana decoder
gani mkuu?