Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,970
Angalau kuna wakati unatumia kichwa kufikiri.Madiwani wa Moshi walijaribu kufisadi fedha kwa study tour HATAHIVYO RC akawashtukia. Maajabu hapa DSM RC kalala usingizi wa pono kuhusu matumizi mabaya ya fedha za halmashuari
Samahani kidogo kwa wanaojuwa sheria na adhabu, hivi kumtandika mtu kibao kimoja au ngumi kabisa adhabu yake ni ipi Mahakamani? maana kuna watu wa hovyo kama huyu mtoto Jerry Silaa ni kuchapa makofi kabisa na wala hakuna haja ya kuwahoji.mkuu bobby unamzungumzia yule meya mwenye uchungu na fedha za walipa kodi walalahoi na anayetembelea mercedes benz?
Zao la Mafisadi Papa, hata Umeya alivyoupata bado inastaajabisha waliompa Umeya condition zao ni zipi.haya mkuu nimekusoma..seems kweli kuna shida kubwa sana hapo ilala....ila ujue ilala ndio maofisi yoote makubwa ya serikali yapo including ikulu na mawizara so i think anapata kiburi cha wakubwa
Manispaa ya Ilala ndio Manispaa Tajili Tanzania, ndio maana huwa hawapendi wapatikane madiwani wa upinzani na hasa kwenye zile kamati muhimu, ninao ushahidi Mwenyekiti wa CCM wakati huo wa Wilaya ya Ilala Mikidadi Mahamoud lile gari alilokuwa anatumia Land Cruiser Prado alinunuliwa na Manispaa ya Ilala kwa sababu Madiwani wote walikuwa wa CCM tupu isipokuwa Maurida Komu.mkuu hela zinaweza zikawa za ccm, sawa lakini sasa mabango yatusaidia nini? simungesaidia hata mayatima au asasi za kiraia? naunga hoja ndugu mleta mada.
Jerry pamoja na kuwa gamba lakini hawezi kujiingiza kwenye mtego wa kijinga namna hii!
Wewe hovyo kweli kweli wala hulijui ulisemalo, wewe Jerry Silaa unamjulia wapi? Muulize yale magari aliyowaonga madiwani wa viti maalum ili wampigie kura yeye na wamsaliti Abuu Juma zile pesa alitoa nani? Jerry Silaa amewekwa pale na watu wenye sauti kwenye nchi hii.Utakuwa ni ufisadi wa Mkurugenzi tu Jerry yuko smart mkuu. Narudia tena, Jery hawezi kujitega mwenyewe. Hana akili za kijing.a kama lile toto la waziri mkuu aliyebadili dini ili awe rais