Uwezo mdogo wa kufikiri kwa wanaume

uajekundu

JF-Expert Member
Jan 14, 2016
541
461
Habari Zenu.
Nimegundua kwamba uwezo wa mwanaume kufikiri bila ya mwanamke ni finyu.
Ukiangalia ma senior bachelor wa mjni hawanaga lolote zaidi ya nguo zake za kuvaa na kigari Chake basi. ela yote anamalizia bar na supu za asubuhi. utakuta kijana ni graduate Ana age between 28 hadi 30 hawazi lolote kuhusu maisha eti bado anajiona mtoto.
Wito wangu ni vijana wa mjini muamke, ukishafika miaka 27 wewe ni Mtu Mzima, Anza kujipanga kwa maisha yako. vijana wengi wasiooa mpaka miaka 35 maisha yao ni hopeless hawanaga kitu....ila wale waliopata maendeleo mapema maisha yao yanakuaga na maendeleo mapema.

mfano. kuna Dk mmoja ambae ni DG wa sehemu flani hajaoa na ana miaka karibu 40. maisha yake ni hopeless anaishi nyumba ya kupanga na hana kitu.wala kiwanja japo ameshika nyadhifa mbalimbali nchini.

Nna rafiki Ana 29 na bado anakaa kwao

nna kama Ana 30yrs hajaoa haina sababu ya kukaa nyumba kubwa mpaka leo anaishi chumba kimoja kigeto Geto na mifano mingine kibao.

Ushauri
Wanaume jifunzeni kuoa haraka akili ya mwanamke ina maarifa makubwa yatakayokufanya uendelee haraka. ukijifanya muchknow utaishia ivoivo.

Behind every successfully man there is a women.
 
Habari Zenu.
Nimegundua kwamba uwezo wa mwanaume kufikiri bila ya mwanamke ni finyu.
Ukiangalia ma senior bachelor wa mjni hawanaga lolote zaidi ya nguo zake za kuvaa na kigari Chake basi. ela yote anamalizia bar na supu za asubuhi. utakuta kijana ni graduate Ana age between 28 hadi 30 hawazi lolote kuhusu maisha eti bado anajiona mtoto.
Wito wangu ni vijana wa mjini muamke, ukishafika miaka 27 wewe ni Mtu Mzima, Anza kujipanga kwa maisha yako. vijana wengi wasiooa mpaka miaka 35 maisha yao ni hopeless hawanaga kitu....ila wale waliopata maendeleo mapema maisha yao yanakuaga na maendeleo mapema.

mfano. kuna Dk mmoja ambae ni DG wa sehemu flani hajaoa na ana miaka karibu 40. maisha yake ni hopeless anaishi nyumba ya kupanga na hana kitu.wala kiwanja japo ameshika nyadhifa mbalimbali nchini.

Nna rafiki Ana 29 na bado anakaa kwao

nna kama Ana 30yrs hajaoa haina sababu ya kukaa nyumba kubwa mpaka leo anaishi chumba kimoja kigeto Geto na mifano mingine kibao.

Ushauri
Wanaume jifunzeni kuoa haraka akili ya mwanamke ina maarifa makubwa yatakayokufanya uendelee haraka. ukijifanya muchknow utaishia ivoivo.

Behind every successfully man there is a women.
Juzi niliona uzi wa binti akilalamika vijana hawaoi..... Ni muendelezo?
 
Ajisifuye na ajisifu kwa kuwa anamjua Mungu
Wanawake tumewekwa kuwa washauri na wasaidizi sifa tunamrudishia Mungu
. Ni kweli bila mwanamke, mwanamke anachemsha. ...anaweza kujitahidi but siyo kwa kiwango kizuri. Tumeumbwa kugundua even even tiny details katika maisha that's why.
 
Jiwe gizani Na wanawake kubania kuzaa ukifika 35 unaanza kuhaha Na kuomna upigwe uzae.

Acheni tabia hiyo mnakera kutulazimisha michezo yenu ya bora uzae eti nikupe mtoto
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom