Mwambie afuatilie aone jinsi Russia alivyodeploy S-400 Crimea za kutosha tayari kuilinda kwa gharama zote!Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni, kwahiyo unataka kuniambia Ukraine wameitoa sadaka Crimea? wameshakubali kuwa Crimea sio mali yao tena, Urusi yupo ndani ni kazi ya Ukraine na Nato kumtoa