Mtapata tabu sana awamu hii.
Vipi mkuu Tabu anaendelea?
Mtapata tabu sana awamu hii.
Yaani wee jamaa ni empty set kabisa kwenye fuvu lako.
Na Anderson Ndambo.
Kuna mambo yanahitaji jicho la Tatu kuyaona na pengine kuyaamini....
.... Chakuzingatia tu, wakati huo (2020) kuna uwezekano baadhi ya watu hatutakuwa nao, kimwili au kisiasa, akiwemo Magufuli mwenyewe....
Wabongo bana,,, huyu kala kona siku nyingi. UNAFIKI NDIO JADI YETU.Habari mkuu
Hata kuishi ni mapenzi ya Mungu ambayo mwanzo ulikuwa umeyaingilia lakini all in all UMEJIFUNZA KITU NA KAMA BADO BASI WE NDIO HUJITAMBUI KABISA.NIPO MKUU.KIFO NI MAPENZI YA MUNGU.SI CHA KUKISHANGILIA.ANAYESHANGILIA KIFO HAJITAMBUI
Sawa mkuuNdoto za mchana JPM ataongoza mihula yote miwili bila shida yoyote
Aisee!Mkuu umenichekesha sana,sasa asipoongoza yeye ataongoza nani!
😆😆😆Sawa mkuu
Sina usemi mkuu.Hadi hapo Sukuma genge unasema je?
Kafa magufuli, Ngoyai anadunda, mkuu uliingilia mamlaka ya MunguDuh! Wewe ndio umechemka kabisa kumleta Ngoyai kwenye equation. Mtu ambaye yuko 'ICU' anawezaje kweli kugombea Urais?
Labda hujaona clipp yake ya hivi karibuni... Ngoyai keshajichokea. The best for him now ni kujiandaa kiroho kwa safari inayofuata...
Sawa sheikh Yahya jrAcha upuuzi magufuli yupo hadi 2025
😂😂😂Rais magufuli anatutosha,anatufaa tumwombee Mungu atawale hadi 2030
mkuu ulibahatika kuwa hai?!" Chakuzingatia tu, wakati huo (2020) kuna uwezekano baadhi ya watu hatutakuwa nao, kimwili au kisiasa, akiwemo Magufuli mwenyewe. Hapa ndipo namuona Lowassa akiibuka tena."
Sitashangaa ukitumiwa vijana uwaeleze ni vipi Magufuli hatokuwepo kimwili ama kisiasa come 2020
Kwa hiyo kuna ambao hawatakuwepo ila Lowasa yeye atakuwepo ? Huu uhakika umeutoa wapi ?
Wacha niweke akiba ya maneno tutaonana Nov 2020 kama na mimi nitabahatika kuwa hai.
✓Itapendeza tukifika 2020 tuwe hatunaye kimwili.
Duh! Wewe ndio umechemka kabisa kumleta Ngoyai kwenye equation. Mtu ambaye yuko 'ICU' anawezaje kweli kugombea Urais?
Labda hujaona clipp yake ya hivi karibuni... Ngoyai keshajichokea. The best for him now ni kujiandaa kiroho kwa safari inayofuata...
ah, na dikteta nae maiti inayofanyaje!!!?Lowassa ni maiti inayo chechemea !
watu wasichokijua uyo Rosti tamuuu Ni CIA agentFor what I know ,move ya lowasa ni strategic, Rostam is behind all the plan
Nikisoma hii comment yako kwa hakika naamini kutangulia sio kufika, yu wapi yule uliye amini hayupo ICU na yu wapi uliye amini yupo ICUDuh! Wewe ndio umechemka kabisa kumleta Ngoyai kwenye equation. Mtu ambaye yuko 'ICU' anawezaje kweli kugombea Urais?
Labda hujaona clipp yake ya hivi karibuni... Ngoyai keshajichokea. The best for him now ni kujiandaa kiroho kwa safari inayofuata...