Uwezekano wa kuviondoa 'kijeshi' vikosi vya Urusi nchini Ukraine ni mdogo sana, ni vigumu mno - Mkuu wa majeshi USA

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
3,598
6,010
Namnukuu Jenerali Milley:
"Kwa mtazamo wa kijeshi, haya ni mapigano magumu mno kwa ukraine".

"Nasisitiza tena, kwa huu mwaka itakuwa ni ngumu, ngumu sana kuviondoa kijeshi vikosi vya Urusi katika kutoka katika kila inchi ya ardhi ya ukraine iliyotwaliwa na vikosi hivyo".

"sijasema kama haiwezekani au haitawezekana lakini itakuwa ni ngumu, yaani ni vigumu mno".

- Nivember pia aliulizwa kama kuna uwezekabo wa Ukraine kurejesha ardhi yake yote kijeshi?, alijibu kuwa " matokeo hayo uwezekabo wake si mkubwa(ni mdogo)".

------------------------------
1674414194254.png


General Mark Milley looks on during a meeting of the Ukraine Defense Contact Group at Ramstein Air Base in Ramstein-Miesenbach, Germany, January 20, 2023 © AFP / Andre Pain

While Kiev has vowed to seize
huge tracts of what is now Russian territory, Moscow’s forces have won a series of key battles

Ukraine will struggle to make good on its promise to drive Russian forces out of its former territory, US Chairman of the Joint Chiefs of Staff Mark Milley stated on Friday. While civilian officials in Washington insist that Kiev must keep fighting, Milley has repeatedly questioned the chances of success.

“President Biden, President Zelensky, and most of the leaders of Europe have said this war is likely to end in a negotiation,”Milley said during a meeting of the US-led Defense Contact Group at Ramstein Air Base in Germany. “From a military standpoint, this is a very, very difficult fight,” he added.

The US alone has allocated more than $110 billion in military and economic aid to Kiev since last February – supplying Ukraine with progressively heavier armaments, including infantry fighting vehicles, anti-air systems, and more than a million artillery shells.

Although Ukraine’s NATO-trained troops appear on the cusp of receiving Western-designed main battle tanks, Russian forces have inflicted a series of crushing defeats on Kiev’s military in recent weeks. The strategically important Donbass settlements of Soledar and Klescheevka have both fallen to Moscow’s troops, and the key city of Artyomovsk is now facing Russian encirclement.

“I still maintain that for this year, it would be very, very difficult to militarily eject the Russian forces from every inch of Russian-occupied Ukraine,” Milley said on Friday, referring to the four former regions of Ukraine that voted to join Russia in September, and Crimea, an historic Russian territory that voted to rejoin the Russian Federation in 2014. “That doesn’t mean it can’t happen, doesn’t mean it won’t happen. But it’d be very, very difficult.”

Retaking all of this land – including Crimea – is the stated objective of Ukrainian President Vladimir Zelensky. To that end, he has the support of the US, with President Joe Biden and Defense Secretary Lloyd Austin vowing to bankroll his military for “as long as it takes,” and Secretary of State Antony Blinken declaring in December that “fundamentally, Ukrainians are making the decisions” about whether they want to attempt to capture Crimea or not.

However, Milley’s public statements have been more tempered than those of Biden and his cabinet. Asked in November whether Ukraine stood a chance of retaking its pre-February territory, he said that the probability of this outcome “is not high, militarily.”
 
Afu mie najiwazia why Russia mataifa mengi yanajiunga kisa Cha Nini. Why Russia hajiungi nao yaani yupo kivyakevyake tu. Hii Ni nusu ya dunia. Kumbuka mwamba ndiye aliyemuangusha utawala wa kinazi nadhani sie tungekuwa pia majivu
 
Hauijui USA wewe, hawa ni wazee wa mbinu na anachoongea ni ngumu sana kujua anachomaanisha.
Haijui USA kwa lipi?

USA alipokua Syria,,,Urusi akamwingilia.

USA alipokua Venezuela,,,,Urusi akamwingilia.

USA na NATO walipokua Uikraine,akamwingilia.

Hii kumwingilia kiswahili fasaha mtanielewesha.
 
Ki
Hauijui USA wewe, hawa ni wazee wa mbinu na anachoongea ni ngumu sana kujua anachomaanisha.
[/QUOTEk
Namnukuu Jenerali Milley:
"Kwa mtazamo wa kijeshi, haya ni mapigano magumu mno kwa ukraine".

"Nasisitiza tena, kwa huu mwaka itakuwa ni ngumu, ngumu sana kuviondoa kijeshi vikosi vya Urusi katika kutoka katika kila inchi ya ardhi ya ukraine iliyotwaliwa na vikosi hivyo".

"sijasema kama haiwezekani au haitawezekana lakini itakuwa ni ngumu, yaani ni vigumu mno".

- Nivember pia aliulizwa kama kuna uwezekabo wa Ukraine kurejesha ardhi yake yote kijeshi?, alijibu kuwa " matokeo hayo uwezekabo wake si mkubwa(ni mdogo)".

------------------------------
View attachment 2491905

General Mark Milley looks on during a meeting of the Ukraine Defense Contact Group at Ramstein Air Base in Ramstein-Miesenbach, Germany, January 20, 2023 © AFP / Andre Pain

While Kiev has vowed to seize
huge tracts of what is now Russian territory, Moscow’s forces have won a series of key battles

Ukraine will struggle to make good on its promise to drive Russian forces out of its former territory, US Chairman of the Joint Chiefs of Staff Mark Milley stated on Friday. While civilian officials in Washington insist that Kiev must keep fighting, Milley has repeatedly questioned the chances of success.

“President Biden, President Zelensky, and most of the leaders of Europe have said this war is likely to end in a negotiation,”Milley said during a meeting of the US-led Defense Contact Group at Ramstein Air Base in Germany. “From a military standpoint, this is a very, very difficult fight,” he added.

The US alone has allocated more than $110 billion in military and economic aid to Kiev since last February – supplying Ukraine with progressively heavier armaments, including infantry fighting vehicles, anti-air systems, and more than a million artillery shells.

Although Ukraine’s NATO-trained troops appear on the cusp of receiving Western-designed main battle tanks, Russian forces have inflicted a series of crushing defeats on Kiev’s military in recent weeks. The strategically important Donbass settlements of Soledar and Klescheevka have both fallen to Moscow’s troops, and the key city of Artyomovsk is now facing Russian encirclement.

“I still maintain that for this year, it would be very, very difficult to militarily eject the Russian forces from every inch of Russian-occupied Ukraine,” Milley said on Friday, referring to the four former regions of Ukraine that voted to join Russia in September, and Crimea, an historic Russian territory that voted to rejoin the Russian Federation in 2014. “That doesn’t mean it can’t happen, doesn’t mean it won’t happen. But it’d be very, very difficult.”

Retaking all of this land – including Crimea – is the stated objective of Ukrainian President Vladimir Zelensky. To that end, he has the support of the US, with President Joe Biden and Defense Secretary Lloyd Austin vowing to bankroll his military for “as long as it takes,” and Secretary of State Antony Blinken declaring in December that “fundamentally, Ukrainians are making the decisions” about whether they want to attempt to capture Crimea or not.

However, Milley’s public statements have been more tempered than those of Biden and his cabinet. Asked in November whether Ukraine stood a chance of retaking its pre-February territory, he said that the probability of this outcome “is not high, militarily.”





Kwamaana hiyo USA inampa ushindi Putin?

Hapana haya maneno nisehemu ya mbinu za kivita kwani kuya tamka maneno Kama haya

Tena kwamtu mkubwa Kama huyu Tena mbele ya vyombo vya habari huku majeshi ya ucraine yakiwa kwenye uwanja wa Vita wakati huo huo USA ikiwa upande wa ucraine""

Nina wasi wasi ni ujumbe frani wenye lengo frani kwa MTU frani

Huenda hata muuliza maswali aliandaliwa lakini lengo analijua mh.Biden

Russians wanapaswa kuwa nacho zaidi kwani

ADUI AKIKUSIFIA BASI NI KAKUTUKANA KWA KUKU FUMBA
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom