Uwezekano wa kupangiwa PCM shule ya Kisimiri

Kisimiri haipo jiji la Arusha bali mkoa wa Arusha nafikiri wilaya ni Arumeru, ni kijijini.
Pale kuna upepo na baridi grade A, miundombinu ni kama shule za kata tu kwasababu ilikuwa kata kabla hawajapeleka advance pale.
Ile shule ufaulu wa wanafunzi ni kutokana na uwezo na jitihada binafsi sio kwamba mazingira ya kujifunzia ni rafiki
 
Kisimiri haipo jiji la Arusha bali mkoa wa Arusha nafikiri wilaya ni Arumeru, ni kijijini.
Pale kuna upepo na baridi grade A, miundombinu ni kama shule za kata tu kwasababu ilikuwa kata kabla hawajapeleka advance pale.
Ile shule ufaulu wa wanafunzi ni kutokana na uwezo na jitihada binafsi sio kwamba mazingira ya kujifunzia ni rafiki

Mtoto wa jiraniangu alipangiwa kisimiri,aliporudi likizo nilimhoji.alinipa jibu Kama Hilo hapo juu👆👆☝️☝️.
 
Mbona una mpotosha mwenzako? Biomedical? Kwanini usimshauri asome civil au umeme?!
Biomedical engineer wanaitajika sana hata ukiangalia ajira za wizara ya afya na isitoshe kwa bachelor inapatikan vyuo viwili TU muhas na arush tech....Sina uhakika Kwa arush tech ila kwa muhas Bado awajatoa graduates intake ya kwanz ndo kwanza wapo Waka wa 3 hivyo competition ni ndogo pia unawez kujiajil

Uwez compare na civil na umeme course tokea nchi imepata uhuru watu wanasoma
 
Biomedical engineer wanaitajika sana hata ukiangalia ajira za wizara ya afya na isitoshe kwa bachelor inapatikan vyuo viwili TU muhas na arush tech....Sina uhakika Kwa arush tech ila kwa muhas Bado awajatoa graduates intake ya kwanz ndo kwanza wapo Waka wa 3 hivyo competition ni ndogo pia unawez kujiajil

Uwez compare na civil na umeme course tokea nchi imepata uhuru watu wanasoma
Dit pia wanatoa bio medical engineering
 
Biomedical engineer wanaitajika sana hata ukiangalia ajira za wizara ya afya na isitoshe kwa bachelor inapatikan vyuo viwili TU muhas na arush tech....Sina uhakika Kwa arush tech ila kwa muhas Bado awajatoa graduates intake ya kwanz ndo kwanza wapo Waka wa 3 hivyo competition ni ndogo pia unawez kujiajil

Uwez compare na civil na umeme course tokea nchi imepata uhuru watu wanasoma
Hujui unachoongea wewe. Kozi kutolewa na vyuo viwili ndio inahitajika sana? Unakumbuka petrolium ilikua inatolewa na udsm na udom je sasa ivi wako wapi?

Kama mtu anataka soma engineering hapa Tz nashauri asome hizi fields..

1. Civil
2. Mechanical
3. Electrical
4. Architecture (japo sio engineering)

Yani kama unajua huna connection na baba ako sio kigogo serikalini komaa na hizo kozi! Otherwise jiandae kisaikolojia..
 
Hujui unachoongea wewe. Kozi kutolewa na vyuo viwili ndio inahitajika sana? Unakumbuka petrolium ilikua inatolewa na udsm na udom je sasa ivi wako wapi?

Kama mtu anataka soma engineering hapa Tz nashauri asome hizi fields..

1. Civil
2. Mechanical
3. Electrical
4. Architecture (japo sio engineering)

Yani kama unajua huna connection na baba ako sio kigogo serikalini komaa na hizo kozi! Otherwise jiandae kisaikolojia..
And Financial engineering.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom