Akotia
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 455
- 1,069
Za asubuhi?
So Mara ya kwanza kwa nchi hii kukamatwa kwa vitu bidhaa feki mbali mbali.
Nimekua mnywaji mzuri was Pepsi lakini siku za hivi karibuni nimehamia eneo flani hivi Dar Es salaam.kila nikinywa pepsi ya hili eneo IPO tofauti na eneo na maeneo mengine niliowahi kunywa.
Pepsi hizi feki zipo light na Ina ladha tofauti na Pepsi kiaina(kwa watumiaji was kinywaji hiki watatambua).Pia hii lebo yake inaonekana kabisa imewekwa Mara mbili maana gundi ya kwanza inaonekana kabisa.
Mamlaka husika ebu fuatilieni kuna uwezekano was kuwepo bidhaa za soda feki has a hizi take away na inawezekana zikawepo feki za soda nyingine pia.nawasilisha.
So Mara ya kwanza kwa nchi hii kukamatwa kwa vitu bidhaa feki mbali mbali.
Nimekua mnywaji mzuri was Pepsi lakini siku za hivi karibuni nimehamia eneo flani hivi Dar Es salaam.kila nikinywa pepsi ya hili eneo IPO tofauti na eneo na maeneo mengine niliowahi kunywa.
Pepsi hizi feki zipo light na Ina ladha tofauti na Pepsi kiaina(kwa watumiaji was kinywaji hiki watatambua).Pia hii lebo yake inaonekana kabisa imewekwa Mara mbili maana gundi ya kwanza inaonekana kabisa.
Mamlaka husika ebu fuatilieni kuna uwezekano was kuwepo bidhaa za soda feki has a hizi take away na inawezekana zikawepo feki za soda nyingine pia.nawasilisha.