MBUFYA
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 445
- 68
Kumekuwa na taarifa zinazotolewa na jeshi lapolisi kuwa kuna tishio la uwepo wa kundi la kigaidi la alshabab kila panapokuwa na shughuli za kisiasa hasa za harakati za ukombozi wa nchi hi.
Sasa hiyo inteligensia mbona haiwakamati hao magaidi badala yake uwepo wao unatumika kama silaha ya kuzimisha maandamano na mikutano ya kisiasa? mi nadhani kunaudhaifu hapa.
nawasilisha hoja.
Sasa hiyo inteligensia mbona haiwakamati hao magaidi badala yake uwepo wao unatumika kama silaha ya kuzimisha maandamano na mikutano ya kisiasa? mi nadhani kunaudhaifu hapa.
nawasilisha hoja.