Uwekwe mkakati maalum wa kuitapishia Dar mkoani Pwani, Kibaha

Rweye

JF-Expert Member
Mar 16, 2011
16,958
7,512
Tulishakosea tokea nyuma na hata kinachofanyika sahivi ni kurudia makosa tena. Dar ilijingwe bila ramani na ndo maana hata leo tunajiuliza kwanini mvua zinaonekana kuwa tatizo la muda wote.

Tutapanua barabara, tutavunja majumba na mitaa na bado haitasaidia zaidi ya kupoteza muda. Jambo moja naliona, wilaya za mkoa wa Pwani bado kuna maeneo na mashamba maekari kwa maekari na wamiliki wameamua kuyaacha yawe mapori.

Nashauli serikali, watu na shughuri za dar ziwekwe katika mpango maalumu wa kuhamiahiwa katika mkoa wa Pwani. Itasaidia kulinda miundombinu ya dar na kuiendeleza Pwani kukua kimji na kimapato pia. Naamini kwa ujenzi wa 8 lane za barabara na reli ya umeme basi shughuli za dar kwa watu hawa bado zitakuwa salama na ajira zao zitanusurika pia

Wape salaam!
 
Tulishakosea tokea nyuma na hata kinachofanyika sahivi ni kurudia makosa tena. Dar ilijingwe bila ramani na ndo maana hata leo tunajiuliza kwanini mvua zinaonekana kuwa tatizo la muda wote.

Tutapanua barabara, tutavunja majumba na mitaa na bado haitasaidia zaidi ya kupoteza muda. Jambo moja naliona, wilaya za mkoa wa Pwani bado kuna maeneo na mashamba maekari kwa maekari na wamiliki wameamua kuyaacha yawe mapori.

Nashauli serikali, watu na shughuri za dar ziwekwe katika mpango maalumu wa kuhamiahiwa katika mkoa wa Pwani. Itasaidia kulinda miundombinu ya dar na kuiendeleza Pwani kukua kimji na kimapato pia. Naamini kwa ujenzi wa 8 lane za barabara na reli ya umeme basi shughuli za dar kwa watu hawa bado zitakuwa salama na ajira zao zitanusurika pia

Wape salaam!
Umeona mbali sana, hongera..
 
Tulishakosea tokea nyuma na hata kinachofanyika sahivi ni kurudia makosa tena. Dar ilijingwe bila ramani na ndo maana hata leo tunajiuliza kwanini mvua zinaonekana kuwa tatizo la muda wote.

Tutapanua barabara, tutavunja majumba na mitaa na bado haitasaidia zaidi ya kupoteza muda. Jambo moja naliona, wilaya za mkoa wa Pwani bado kuna maeneo na mashamba maekari kwa maekari na wamiliki wameamua kuyaacha yawe mapori.

Nashauli serikali, watu na shughuri za dar ziwekwe katika mpango maalumu wa kuhamiahiwa katika mkoa wa Pwani. Itasaidia kulinda miundombinu ya dar na kuiendeleza Pwani kukua kimji na kimapato pia. Naamini kwa ujenzi wa 8 lane za barabara na reli ya umeme basi shughuli za dar kwa watu hawa bado zitakuwa salama na ajira zao zitanusurika pia

Wape salaam
Idea nzuri sana hiyo...
 
Tulishakosea tokea nyuma na hata kinachofanyika sahivi ni kurudia makosa tena. Dar ilijingwe bila ramani na ndo maana hata leo tunajiuliza kwanini mvua zinaonekana kuwa tatizo la muda wote.

Tutapanua barabara, tutavunja majumba na mitaa na bado haitasaidia zaidi ya kupoteza muda. Jambo moja naliona, wilaya za mkoa wa Pwani bado kuna maeneo na mashamba maekari kwa maekari na wamiliki wameamua kuyaacha yawe mapori.

Nashauli serikali, watu na shughuri za dar ziwekwe katika mpango maalumu wa kuhamiahiwa katika mkoa wa Pwani. Itasaidia kulinda miundombinu ya dar na kuiendeleza Pwani kukua kimji na kimapato pia. Naamini kwa ujenzi wa 8 lane za barabara na reli ya umeme basi shughuli za dar kwa watu hawa bado zitakuwa salama na ajira zao zitanusurika pia

Wape salaam!
huo mkakati mbona ushaanza ndio mana unaona viwanda vyote viko pwani mkoa wa pwani utakua kama tanga ya kipindi kile cha nyerere
 
Pwani/Kibaha nayo inafanyika kosa lilelile. Inaachiwa ijengwe Kiholela. Watu wa mipango miji wamelala. Kazi yao kupokea pesa za rushwa za vibali vya ujenzi. Ukitoa pesa unaruhusiwa ujenge popote pale kwa namna yoyote ile. Wapima viwanja wanakata/wanapimia watu viwanja vya 400m² ambavyo kimsingi ni uharibifu wa ardhi na mazingira kwani inasababisha msongamano wa makazi ya watu
 
Mvua haziachi ila Pwani ni rahisi kupangika ikiwa bado haijafurika na kama itafanyika kitaalamu kwa kuzingatia mikakati ya mipango mini mkuu
 
Dodoma kwa Dar sikatai ila ili usidisturb maisha ya hao watu kwa kiasi kikubwa Pwani ni alternative best make ni rahisi kwa usafiri na kwa kuafford cost za usafiri to/from work
 
Ila tuanze na satelite towns kama ilivyopendekezwa na planning experts wa ardhi, hawa city godfathers wali suggest mikakati mizuri mno lakini ma-file yanashiba vumbi tu wizarani...
Fafanua content yao ilikuwaje mkuu huenda tukapata la kuongezaongeza katika hilo
 
Fafanua content yao ilikuwaje mkuu huenda tukapata la kuongezaongeza katika hilo
Ni swala lilishika hatamu sana huko nyuma katika harakati za kupambana na foleni Dar, kujenga mabondeni, mafuriko na watu kujenga kiholela au hovyo hovyo karibu na mjini.
Nachokumbuka walishauri kuwe na miji Dar ambapo huduma zote muhimu zitapatikana ziwe toka sekta binafsi au serikalini..
Nakumbuka walitaja miji kama Bunju, Luguru, Kigamboni n.k. n.k..
 

Attachments

  • ANDIKO LA MRADI - MAFURIKO - DEVELOPMENT OF MABWEPANDE SATELLITE TOWN.doc
    91.5 KB · Views: 7
Back
Top Bottom