kubenafrank
Member
- Aug 14, 2011
- 82
- 22
Kila mwaka katika mikutano ya wadau ya mifuko hii ya hifadhi za jamii kumekuwa na wimbo wa uwekezaji,uwekezaji.Wamejenga majengo mengi, madaraja na biashara nyingi tu zinafanywa na hizi fedha za wavuja jasho wa taifa hili bila ridhaa yao lakini haijawahi kuwasaidia wanachama hata mara moja.
Fedha hizi ni za wanachama zinatumiwa bila ridhaa yao na faida zinazopatikana katika uwekezaji au uwizishaji huo hazijawahi kumnufaisha na hazitakuja kumnufaisha mwanachama. Kwanini haya yanafanyika kama vile wanachama ni mazuzu?hawapewi hata nafasi ya kukopeshwa fedha zao kwa manufaa yao? Nchi hii ni ya ajabu sana.
Fedha hizi ni za wanachama zinatumiwa bila ridhaa yao na faida zinazopatikana katika uwekezaji au uwizishaji huo hazijawahi kumnufaisha na hazitakuja kumnufaisha mwanachama. Kwanini haya yanafanyika kama vile wanachama ni mazuzu?hawapewi hata nafasi ya kukopeshwa fedha zao kwa manufaa yao? Nchi hii ni ya ajabu sana.