Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
NImesikia wasomi wetu ktk mamlaka ya CCM leo wakilazimisha wawekezaji wazawa kusema watafikia aje malengo husika.Huu ni uovu mkubwa sana.Kwani mjumuisho wake una vitu vingi ambavyo ni siri inayoweza kuwa mtaji kwa mwekezaji na hatoweza tumia tena kwa ufanisi ,au asiweze kabisa wengine wakianza tumia.
Sijaona hili ktk fikra za watawala wetu.Na mbaya hii ipo ktk aina ya uwekezajia ambao si tender ya mamlaka.Yaani si kitu kinachofanya huduma au kupeleka bidhaa kwa serikali .Sasa kwanini serikali itake jua njia za kufikia mafanikio ya mwekezaji binafsi.
Pengine Serikali ingewaeleza wananchi km kujua hayo kutawasaidiaje kulinda kodi na mrabaha?hiyo ndiyo sehemu ya serikali .
Sijaona hili ktk fikra za watawala wetu.Na mbaya hii ipo ktk aina ya uwekezajia ambao si tender ya mamlaka.Yaani si kitu kinachofanya huduma au kupeleka bidhaa kwa serikali .Sasa kwanini serikali itake jua njia za kufikia mafanikio ya mwekezaji binafsi.
Pengine Serikali ingewaeleza wananchi km kujua hayo kutawasaidiaje kulinda kodi na mrabaha?hiyo ndiyo sehemu ya serikali .