Nataka kufahamu mambo muhimu katika Uwekezaji kwenye shule ya awali

Mkuu hiyo approach yako nakiri it was the best in the previous era! Zama hz haifai! ItakuCost more! November kuna pahali nilienda kuchukua flem ya biashara. Nikaenda TRA, tukayajenga kisha wakanambia MAKADIRIO niende January! Nikaenda Halmashauri tukamalizana leseni! January pia nikamalizana na TRA.

JIRANI na flem yng kuna jamaa ana biashara ya mambo ya vioo na aluminum, akawa anancheka ninavojihisisha na Mambo za TRA na Halmashauri!

Km wiki 2 zilizopita TRA wametimba kwa jamaa! Walichomfanya ktk hesabu walizompa! Kasema akimaliza DENI LA TRA anafunga Biashara!
bahati mbaya Sana Mimi nakuwa tofauti na wengine pindi ninapotaka kuanzisha Jambo langu, Mimi huwa naanzishaga tu bila kujiuliza maswali mengi, naanzishaga Kisha TRA watakuja, wizara itakuja, na wengine watakuja,Kisha tunakaa meza moja tunayajenga safar inaendelea, lakini ukifuata vigezo na mashart hata duka la vyombo la kawaida hutofungua.....inchi ngumu hiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo sio majengo tatizo ni usajili wa hiyo shule kwa mjibu wa wizara husika.
Eneo liwe na 2accre ikiwa town ukiwa sio town accre7
Uombe kubali cha kujenga kwa kuwabatanisha yafuatayo
Hati ya kiwanja, uwezo wako 60m nk.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu nilichojifunza wasomi tunachelewa sana kufanikiwa sababu tuna fanya analysis nyingi sana mwisho wa siku zinatukatisha tamaa.

Nilipata kukutana na dogo wa miaka 22 anamiliki shule ya private elimu yake form 4 nilijifunza kitu toka kwake.

Nakushauri we kulupuka tu ,wakija hao wajomba unakaa nao mezani mambo yanaisha hiyo ndio formula
 
Back
Top Bottom