Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,106
- 37,641
Kuna tatizo gani kwenye green colour?
bahati mbaya Sana Mimi nakuwa tofauti na wengine pindi ninapotaka kuanzisha Jambo langu, Mimi huwa naanzishaga tu bila kujiuliza maswali mengi, naanzishaga Kisha TRA watakuja, wizara itakuja, na wengine watakuja,Kisha tunakaa meza moja tunayajenga safar inaendelea, lakini ukifuata vigezo na mashart hata duka la vyombo la kawaida hutofungua.....inchi ngumu hiii
Kitu nilichojifunza wasomi tunachelewa sana kufanikiwa sababu tuna fanya analysis nyingi sana mwisho wa siku zinatukatisha tamaa.Tatizo sio majengo tatizo ni usajili wa hiyo shule kwa mjibu wa wizara husika.
Eneo liwe na 2accre ikiwa town ukiwa sio town accre7
Uombe kubali cha kujenga kwa kuwabatanisha yafuatayo
Hati ya kiwanja, uwezo wako 60m nk.
Sent using Jamii Forums mobile app