Kaka Kapo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2012
- 535
- 329
Ndugu wanajamvi wasalaam!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu!
Ninaoomba mwenye ufahamu wa kutosha juu ya hii aina ya uwekezaji anipe ufahamu kuhusu hii aina ya uwekezaji ili na mie nijiridhisha niweze kufanya aina hii ya uwekezajia.
Naomba kujuzwa mchakato mzima wa aina hii ya uwekezaji na ni kwa jinsi gani naweza kufaidika na aina hii ya uwekezaji na ili nifaidike zaidi ni njia gani ni nzuri katika kufanikisha hili? Maoni yako ni muhimu kwangu.
Natanguliza shukrani zangu za dhati!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu!
Ninaoomba mwenye ufahamu wa kutosha juu ya hii aina ya uwekezaji anipe ufahamu kuhusu hii aina ya uwekezaji ili na mie nijiridhisha niweze kufanya aina hii ya uwekezajia.
Naomba kujuzwa mchakato mzima wa aina hii ya uwekezaji na ni kwa jinsi gani naweza kufaidika na aina hii ya uwekezaji na ili nifaidike zaidi ni njia gani ni nzuri katika kufanikisha hili? Maoni yako ni muhimu kwangu.
Natanguliza shukrani zangu za dhati!