tapemeasure
Senior Member
- Jan 15, 2020
- 141
- 84
Habari za kutwa wana JF.
Matumaini yangu wote mu wazima na mnaendelea vizuri kwa ujumla.
Kwa muda mrefu nilikuwa nafatilia juu ya uwekezaji katika soko la Hisa la Dar es salaam na mifuko (DSE) ya UTT ila bado sijaelewa mambo yanaendaje na nilitamani sana kuwekeza katika maeneo hayo nikaona nijisongeze katika eneo hili la JF nipate maoni kwa watalamu zaidi.
Nilitamani kujuwa ni sehemu gani sahihi ya kuwekeza kati ya soko la hisa la Dar es salaam (DSE) na mifuko ya UTT katika vipengele hivi;
1. Mitaji katika uwekezaji katati ya DSE na UTT.
2. Namna ya kupata faida.
3. Hasara na faida kati ya UTT na soko la hisa la Dar es salaam (DSE).
Naombeni mawazo yenu wana JF.
To be a good patriot one must become the enemy of the rest of mankind
>> Soma zaidi
Ufahamu mfuko wa uwekezaji UTT
Matumaini yangu wote mu wazima na mnaendelea vizuri kwa ujumla.
Kwa muda mrefu nilikuwa nafatilia juu ya uwekezaji katika soko la Hisa la Dar es salaam na mifuko (DSE) ya UTT ila bado sijaelewa mambo yanaendaje na nilitamani sana kuwekeza katika maeneo hayo nikaona nijisongeze katika eneo hili la JF nipate maoni kwa watalamu zaidi.
Nilitamani kujuwa ni sehemu gani sahihi ya kuwekeza kati ya soko la hisa la Dar es salaam (DSE) na mifuko ya UTT katika vipengele hivi;
1. Mitaji katika uwekezaji katati ya DSE na UTT.
2. Namna ya kupata faida.
3. Hasara na faida kati ya UTT na soko la hisa la Dar es salaam (DSE).
Naombeni mawazo yenu wana JF.
To be a good patriot one must become the enemy of the rest of mankind
>> Soma zaidi
Ufahamu mfuko wa uwekezaji UTT