Habari zenu. Mimi nafikiria kuwekeza kwenye kilimo. Natarajia kuwa mwekezaji wa kati, sio mkubwa kama azam au mdogo kabisa, ila wa kati. Nachotaka kufahamu ni kwamba, kilimo kinalipa tz sana sana ukizingatia mvua ni za kubahatisha? Pia serikali inasaidia wakulima/wawekezaji na misamaha ya kodi? Natanguliza shukrani.