Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Rais leo amepokea wageni,Kampuni ya Siemens na Wachina wanaotaka kuzalisha umeme mwingi na kuunganisha mikoa yote kwenye gridi ya taifa.Uwekezaj huu na mwingine wowote unaopangwa kufanyika unanipa mashaka makubwa kwenye maana Unapoka jukumu la TANESCO kuzalisha umeme na kuathiri uwezo wa kifedha wa shirika hilo la umma
na itaongeza gharama za umeme na mwananchi atabeba mzigo mzito kwa TANESCO watakuwa wakala wa makampuni hayo, itabidi waongeze tariff waweze kujiendesha na kuwalipa wawekezaji hao.
na itaongeza gharama za umeme na mwananchi atabeba mzigo mzito kwa TANESCO watakuwa wakala wa makampuni hayo, itabidi waongeze tariff waweze kujiendesha na kuwalipa wawekezaji hao.