Kajuni
JF-Expert Member
- May 27, 2009
- 486
- 186
Jamani kuna umuhimu wowote simu za wapenzi wawili kuwana na password? let say mke na mme au mtu na mchumba wake wanaulazimu wa kuweka password?
Habarini wana JamiiForums, heri ya Mwaka mpya.
Naomba kuuliza kuwa ni sahihi kuweka pattern kwenye simu kwa wale wanandoa au wachumba. Kwani kwa wanandoa ni tayari mmeshakuwa mwili mmoja na hakuna siri baina yenu mnatakiwa kuwa wazi kwa kila mnalofanya.
Na kwa wale wachumba tena hao ndo hawafai kabisa kufichana kitu kwani wao wanakaribia kuwa Mwili mmoja kwanini wanaweka hizo pattern kwenye simu.
Karibuni wakuu kuchangia.