MC PilipiliThread inamhusu Nani?
Mambo ya familia ni changamoto hasa kwenye Mali. Nilikarabati nyumba ya familia na wazazi kuhamia kwangu nilipojenga. Nyumba ina wapangaji na hela inaingia Kwa ajili ya kuendesha familia. Cha ajabu ikitakiwa ukarabati naangaliwa Mimi. Ni ngumu jamani sababu Ile ni Mali ya familia sio ya MTU mmoja na mara nyingi wale ndugu wajanja wajanja wasiochangia kitu huwa Wana Fujo Sana wazazi wakitangulia.Ndio maana watu wanajitenga na Mali za familia.
Hii inawahusu wote wenye maisha ya kuigiza igiza.Unajiujua unavyo fake life.Kwenu kijijini unajua wazazi wako wanapolala,halafu wewe unajifanya huku unaishi kwenye apartment.
watu mnasubiri mpaka mpigiwe simu na wazazi wenu ili muwasaidie
Tumefikia hukooKila mtu apambane na maisha yake, kama wao wanaishi maisha magumu ndo waliyoyachagua
Sasa nisiendeshe gar zuri kisa familia yangu maskin mxieew, nisiishi sehem nzuri kisa kwetu pabaya
Tofautisha kwetu na kwangu, vitu viwil tofaut hata magufuli kwake na kwao ni tofauti
Acha unafiki wewe shekhe.Leo narudi kwa Babu yangu Kariakoo Mtaa wa Kariakoo kufungua juzuu na kupata mawaidha kuhusu husda.
Naomba msikilizeni Sheikh akitoa mawaidha dhidi ya husda, na mjiondoe kwenye kufanya dhambi ya husda mpaka misibani.
To be sure, mimi sina dini lakini mafunzo mazuri yaliyomo katika dini nayapenda.
Karibuni.
Unafiki zaidi ni kumshutumu mtu unafiki bila hata kufafanua unafiki wake uko wapi.
Kuna moja Kali Baba alimwambia binti yake ambae hakuwa na mume ajenge Ka apartment kwenye kiwanja chake Mzee, dada akajidunduliza akajenga akaanza kuishi na wanae ndugu Zake 7 wanaona na wanajua kinachoendelea. Mipango ya MUNGU wazazi wakatangulia. In short walikaa kikao wakaamua nyumba zote mbili ni za familia Kodi zikitoka zinagawanywa mara 8 idadi ya watoto WA Mzee. Na kama dada anataka kuishi pale alipe Kodi. Dada Yule akaondoka na mgao kazira hachukui hata elfu.Kuna kisa cha mshikaji yuko ughaibuni. Kakaake kakopa benki kupitia nyumba ya familia. Hela zote katumbua, benki ikabidi wanataka kuchukua nyumba. Jamaa akachukua savings zake zote ikabidi anunue ile nyumba. Ndugu kuona msala wa benki umeisha wakamgeukia. Wengine wakaangusha vilio kwamba unatunyasasa kwa vile we unakaa Ulaya. Mshikaji ikabidi arudi ughaibuni mikono mitupu. Huku nyuma ndugu zake nyumba wakaipiga bei tena hela wakagawana.
Yaani mbele ya mali ndugu wengine hawana hata huruma
Hivi hapo anajifanya anaishi kwenye apartment au kiukweli anaishi kwenye apartment?Hii inawahusu wote wenye maisha ya kuigiza igiza.Unajiujua unavyo fake life.Kwenu kijijini unajua wazazi wako wanapolala,halafu wewe unajifanya huku unaishi kwenye apartment.
watu mnasubiri mpaka mpigiwe simu na wazazi wenu ili muwasaidie
Hakika. Ila Dodoma sisi Wagogo wa ovyo mnoHakunaga Mchaga boya
😆😆😆😆Fisi kala fisi mwenzakeKuna kisa cha mshikaji yuko ughaibuni. Kakaake kakopa benki kupitia nyumba ya familia. Hela zote katumbua, benki ikabidi wanataka kuchukua nyumba. Jamaa akachukua savings zake zote ikabidi anunue ile nyumba. Ndugu kuona msala wa benki umeisha wakamgeukia. Wengine wakaangusha vilio kwamba unatunyasasa kwa vile we unakaa Ulaya. Mshikaji ikabidi arudi ughaibuni mikono mitupu. Huku nyuma ndugu zake nyumba wakaipiga bei tena hela wakagawana.
Yaani mbele ya mali ndugu wengine hawana hata huruma