Uwe maarufu au la, usijifanye una hela wakati huna! Utakuja umbuka msibani

Mambo ya familia ni changamoto hasa kwenye Mali. Nilikarabati nyumba ya familia na wazazi kuhamia kwangu nilipojenga. Nyumba ina wapangaji na hela inaingia Kwa ajili ya kuendesha familia. Cha ajabu ikitakiwa ukarabati naangaliwa Mimi. Ni ngumu jamani sababu Ile ni Mali ya familia sio ya MTU mmoja na mara nyingi wale ndugu wajanja wajanja wasiochangia kitu huwa Wana Fujo Sana wazazi wakitangulia.Ndio maana watu wanajitenga na Mali za familia.


Kuna kisa cha mshikaji yuko ughaibuni. Kakaake kakopa benki kupitia nyumba ya familia. Hela zote katumbua, benki ikabidi wanataka kuchukua nyumba. Jamaa akachukua savings zake zote ikabidi anunue ile nyumba. Ndugu kuona msala wa benki umeisha wakamgeukia. Wengine wakaangusha vilio kwamba unatunyasasa kwa vile we unakaa Ulaya. Mshikaji ikabidi arudi ughaibuni mikono mitupu. Huku nyuma ndugu zake nyumba wakaipiga bei tena hela wakagawana.
Yaani mbele ya mali ndugu wengine hawana hata huruma
 
Hii inawahusu wote wenye maisha ya kuigiza igiza.Unajiujua unavyo fake life.Kwenu kijijini unajua wazazi wako wanapolala,halafu wewe unajifanya huku unaishi kwenye apartment.

watu mnasubiri mpaka mpigiwe simu na wazazi wenu ili muwasaidie

Kila mtu apambane na maisha yake, kama wao wanaishi maisha magumu ndo waliyoyachagua

Sasa nisiendeshe gar zuri kisa familia yangu maskin mxieew, nisiishi sehem nzuri kisa kwetu pabaya

Tofautisha kwetu na kwangu, vitu viwil tofaut hata magufuli kwake na kwao ni tofauti
 
Kila mtu apambane na maisha yake, kama wao wanaishi maisha magumu ndo waliyoyachagua

Sasa nisiendeshe gar zuri kisa familia yangu maskin mxieew, nisiishi sehem nzuri kisa kwetu pabaya

Tofautisha kwetu na kwangu, vitu viwil tofaut hata magufuli kwake na kwao ni tofauti
Tumefikia hukoo
 
Leo narudi kwa Babu yangu Kariakoo Mtaa wa Kariakoo kufungua juzuu na kupata mawaidha kuhusu husda.

Naomba msikilizeni Sheikh akitoa mawaidha dhidi ya husda, na mjiondoe kwenye kufanya dhambi ya husda mpaka misibani.

To be sure, mimi sina dini lakini mafunzo mazuri yaliyomo katika dini nayapenda.

Karibuni.

Acha unafiki wewe shekhe.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Kuna kisa cha mshikaji yuko ughaibuni. Kakaake kakopa benki kupitia nyumba ya familia. Hela zote katumbua, benki ikabidi wanataka kuchukua nyumba. Jamaa akachukua savings zake zote ikabidi anunue ile nyumba. Ndugu kuona msala wa benki umeisha wakamgeukia. Wengine wakaangusha vilio kwamba unatunyasasa kwa vile we unakaa Ulaya. Mshikaji ikabidi arudi ughaibuni mikono mitupu. Huku nyuma ndugu zake nyumba wakaipiga bei tena hela wakagawana.
Yaani mbele ya mali ndugu wengine hawana hata huruma
Kuna moja Kali Baba alimwambia binti yake ambae hakuwa na mume ajenge Ka apartment kwenye kiwanja chake Mzee, dada akajidunduliza akajenga akaanza kuishi na wanae ndugu Zake 7 wanaona na wanajua kinachoendelea. Mipango ya MUNGU wazazi wakatangulia. In short walikaa kikao wakaamua nyumba zote mbili ni za familia Kodi zikitoka zinagawanywa mara 8 idadi ya watoto WA Mzee. Na kama dada anataka kuishi pale alipe Kodi. Dada Yule akaondoka na mgao kazira hachukui hata elfu.
 
Hakuna kuumbuka kwenye umaskini. Kama ww ni maskini ni maskini hata kama ni maarufu, uchungu wa umaskini utaupata tu bila kujali watu wanajua ww ni maskini au la.
 
Kuna Maisha Ya Insta,FB,Tiktok na Youtube Channel.

Ni maamuzi yako na akili zako uweje.
 
Hii inawahusu wote wenye maisha ya kuigiza igiza.Unajiujua unavyo fake life.Kwenu kijijini unajua wazazi wako wanapolala,halafu wewe unajifanya huku unaishi kwenye apartment.

watu mnasubiri mpaka mpigiwe simu na wazazi wenu ili muwasaidie
Hivi hapo anajifanya anaishi kwenye apartment au kiukweli anaishi kwenye apartment?
 
Ili Ni Jiwe gizani
f1b151704aa75d04297d1c77fa7bf88b.jpg
55d40bb1073bb14e4f727cfbd66cfceb.jpg
 
Kuna kisa cha mshikaji yuko ughaibuni. Kakaake kakopa benki kupitia nyumba ya familia. Hela zote katumbua, benki ikabidi wanataka kuchukua nyumba. Jamaa akachukua savings zake zote ikabidi anunue ile nyumba. Ndugu kuona msala wa benki umeisha wakamgeukia. Wengine wakaangusha vilio kwamba unatunyasasa kwa vile we unakaa Ulaya. Mshikaji ikabidi arudi ughaibuni mikono mitupu. Huku nyuma ndugu zake nyumba wakaipiga bei tena hela wakagawana.
Yaani mbele ya mali ndugu wengine hawana hata huruma
😆😆😆😆Fisi kala fisi mwenzake
 
Back
Top Bottom