Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Nilikuwa napitia mawaziri waliopitia Wizara ya Nishati na Madini. Kiukweli namwomba Mh rais wetu amteue mwanamke kwenye hii nafasi.
Naamini hata kama kutakuwa na uwepo wa michezo michafu kwa kasi anayoionesha Mh rais naamini huyo mama atakuwa wa kwanza kuwahi ikulu endapo anataka kuhongwa ama kuna harufu haielewi wizarani mwake!!!
Naamini wakiwezeshwa wanaweza, namtakia mwanamama yoyote heri na kazi imara kama atateuliwa.
Naamini hata kama kutakuwa na uwepo wa michezo michafu kwa kasi anayoionesha Mh rais naamini huyo mama atakuwa wa kwanza kuwahi ikulu endapo anataka kuhongwa ama kuna harufu haielewi wizarani mwake!!!
Naamini wakiwezeshwa wanaweza, namtakia mwanamama yoyote heri na kazi imara kama atateuliwa.