Nazidi kuwasihi Watanzania wenzangu! Hoja zingine za kipuuzi tuziepuke!
Ajenda ya 50 kwa 50 Pasipo uwezo binafsi haina maana!
Inchi inahitaji maendeleo, Tunaelekea kwenye kasi ya kufanya kazi usiku na mchana
Wanaume wenye uwezo mkubwa wapo wengi mlitaka waachwe ili wakateuliwe wanawake kisa wapaka poda
Baadhi za hoja ukizitafakali ni za kipuuzi sana!
MMESAHAU KWAMBA MAENDELEO YASIPOFIKIWA LAWAMA ZOTE MNAMPA RAIS!
RAIS NI KAMA KOCHA WA TIMU! MSIMPANGIE TIMU! maana mwisho wa siku timu ikifungwa MTAMFURUSHA!
Ajenda ya 50 kwa 50 Pasipo uwezo binafsi haina maana!
Inchi inahitaji maendeleo, Tunaelekea kwenye kasi ya kufanya kazi usiku na mchana
Wanaume wenye uwezo mkubwa wapo wengi mlitaka waachwe ili wakateuliwe wanawake kisa wapaka poda
Baadhi za hoja ukizitafakali ni za kipuuzi sana!
MMESAHAU KWAMBA MAENDELEO YASIPOFIKIWA LAWAMA ZOTE MNAMPA RAIS!
RAIS NI KAMA KOCHA WA TIMU! MSIMPANGIE TIMU! maana mwisho wa siku timu ikifungwa MTAMFURUSHA!