MWENDA MATONGO
Member
- Aug 29, 2018
- 39
- 11
Wabongo hawana habari na mikataba yaani wavivu kusoma saana ila kuangalia series wanakaa hata saa 5 ,, ila kusoma hata nusu ukurusa ni ishu
Mikataba sisi tunapenda kufanya kificho
Ova
Wananchi wanaweza kuwafutilia watumishi wa serikali kama hao wananchi nao ni wanaajibika kwa nafasi zao. Umeshasikia walipa kodi hii nchi ni 2.2m tu. Unadhani tungekuwa tunawalipa kodi 30m tungeruhusu pesa zitumike bila uwajibika? Watu kusoma ni shida, Nchi hii library nzuri hazifiki hata 3? watakwambia wanasoma online ukiwauliza apps za vitabu hawajui Zaidi ya facebook na insta.Kama wananchi! Kuna kitu tunapaswa kuwafunza hawa viongozi, nacho ni "UWAJIBIKAJI" vinginevyo wataendelea kuvunja katiba wapendavyo na watakavyo ila vunja wewe raia sasa!! Jasho litakutoka!
Ukiwaambia hivyo wahisi umewatukana.Tuna katiba inayolinda watawala zaidi kuliko maliasili za nchi!!
Wenye imani na Jiwe wahini Mirembe.
Ukisema hivi unatukosea kwani lengo la jf ni kusaidia kujenga hoja mbadala kulingana na uelewa wetu juu ya jambo fulani na huenda wengine ni wataalam katika jambo hilo ambao wapo nje ya mfumo husika na wengine ni wadadisi ambao wana maarifa zaidi kushinda watendaji waliopo kwenye mfumo! Kusema ni uchochezi ili hali mmetofautiana kimtazamo ni makosa!hahahaha...inaonekana baadhi yetu raia tuna maneno ya "kichochezi" ndio maana tunafichwa
Ni copy tu wanachapisha kutoka njehivi hii nchi ina watunga sheria??
Wameona hatuhoji sasa wameamua kutudharau kabisa na ukihoji unatishiwa jele.Sikubaliana ya kusema watz ni mambugila!
Waweke hiyo mikataba wazi wananchi waisome na kuielewa!
Lkn kama sasa hv mikataba mingi inayoingia serikali jumba kule dom kwenyewe hawashirikishwi sembuse sisi wananchi tutaletewa!
Ova
Kuna wakati lazima mtu alazimishwe kufanya jambo la msingi na faida kwake na jamii nzima.Kwanini tumelazimishwa kusoma huu uzi?
especially Rwanda.Ni copy tu wanachapisha kutoka nje