MAJANGAMAJANGA
Senior Member
- Feb 13, 2013
- 179
- 91
Wanadharaulika kwasababu wao wenyewe pia ni wagonjwa wa afya ya akili mkuusafi sana na kwanini taaluma ya afya ya akili inadharaulika Tanzania wakati ni moja ya taaluma inayoheshimika na kuangaliwa kwa ukaribu nchi za ughaibuni..pia hivi nikitaka mtoa ushauri(psychitrist TANZANIA WAPO?