Songa Heri
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 1,723
- 1,872
Vyura bwanaAfadhali tupumue maana wenzetu walitobolewa tundu juzi.
ndio nakupendeaga hapo Hajar hata iwe vipi hauteterekiKila la kheri timu yangu Yanga iwe jua iwe mvua mie nipo nayo tu.
"SIKU ZOTE DAIMA MBELE NYUMA MWIKO"
Sikuwa online muda huo mwenzangu...daah ila sio mbaya....TUMESHINDAAAAAAAAAAAAAA
Alizima dataAhsante sana Kaka Mtani sina jinsi.
Hahaaaa. Unikaribishage na mie nduguyo basi. Hongereni.
Japokuwa ulinikimbia Mtani game ya Kagera Sugar
Afadhali tupumue maana wenzetu walitobolewa tundu juzi.
Mtani ngapi ngapi hukoKila la kheri timu yangu Yanga iwe jua iwe mvua mie nipo nayo tu.
"SIKU ZOTE DAIMA MBELE NYUMA MWIKO"
Kama Yanga tia maji basi bongo hapa hakuna team nzuri maana mpaka sasa haijapoteza mchezo.Yanga tia maji tia maji. Hawawezi kucheza dk 90. Wakati Simba inatamani mpira uwe dk 120 mashabiki wapati raha ya pasi gonga
Ngapi huko?KILA LA HERI YANGA LEO...USHINDI LAZIMA
MPAKA SASA HIVI DAKIKA YA 75
Yanga 1 Mbao Fc 0
YANGA 2 MBAO FC 0Ngapi huko?