Uwanja wa Taifa the place to be today!

Ubumuntu

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
14,316
10,782
Salaam wanaJF. Leo mahala ambako mpenda soka anatakiwa awe ni Uwanja wa Taifa. Poleni kwa wale ambao hawatakuja kutokana na sababu mbalimbali. Msijali nitawawakilisha vyema.
 
Salaam wanaJF. Leo mahala ambako mpenda soka anatakiwa awe ni Uwanja wa Taifa. Poleni kwa wale ambao hawatakuja kutokana na sababu mbalimbali. Msijali nitawawakilisha vyema.


mmmh kama JK haji itakuwa place to be alkini kwa kuwa ana gundu akija tu Taifa Stars inachezea kichapo
 
Back
Top Bottom