Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Huyu ni mfanyakazi uwanja wa Taifa akiwa katika maandalizi ya kuutayarisha uwanja kuelekea mchezo wa leo TPL.
Inawezekana vipi huyu mfanyakazi wa uwanja huu kuu wa Taifa, asiwe na vifaa vya kujikinga na hatari yoyote ile bila kuwa na Overall, Gamboots, gloves? Kulikoni hapo?
Inawezekana vipi huyu mfanyakazi wa uwanja huu kuu wa Taifa, asiwe na vifaa vya kujikinga na hatari yoyote ile bila kuwa na Overall, Gamboots, gloves? Kulikoni hapo?