Uwanja wa Taifa na Mbao za Matangazo ya Biashara

Kifurukutu

JF-Expert Member
Aug 29, 2013
4,502
6,403
Habari zenu wadau wa sports!

Uwanja wa taifa ni moja ya kiwanja cha kisasa na chenye hadhi ya kimataifa na katika viwanja bora barani Africa na kipo katika chati nzuri na za juu. Uwanja huu unauwezo wa kuchukua mashabiki 60000 wakiwa wamekaa, ni jambo la kupongeza.

Mpira wa miguu kwa kiasi kikubwa umekuwa ukiingiza pesa nyingi kupitia matangazo mbalimbali yanayofanywa na Tv, radio station na matangazo ya moja kwa moja toka uwanjani.

Kwa Tanzania, uwanja wa Taifa hali imekua tofauti na viwanja vingine vingi dunia
inakuaje uwanja wa Taifa hauna electronic board ya matangazo?
yaani mpaka leo hii ulimwengu wa technology huu lakini bado ukiingia uwanja wa taifa unakutana na matangazo pembezoni mwa uwanja yamekandamizwa na mawe!
kweli tuko serious na matangazo yanaoingiza pesa nyingi?

Kuna gharama gani kuweka mbao za matangazo za kielektonik taifa?

Kwa hili TFF na wahusika wengine mliangalie kwa jicho pevu, kwani pesa nyingi inapotea tu watu hawavutiwi kutangaza na uwanja wa taifa!

Tuwekeeni elekronik board za matangazo uwanja wa Taifa hii itakua fursa kwenu pia.

Nawasilisha
 
Viti vya kisasa vinang'olewa kila vurugu zikitokea, vipi hizi mbao za kisasa si zitapasuliwa kila kukicha. Tuzoee kwa mazingira ya viti vya plastik badala ya ngaz za simenti.
 
Viti vya kisasa vinang'olewa kila vurugu zikitokea, vipi hizi mbao za kisasa si zitapasuliwa kila kukicha. Tuzoee kwa mazingira ya viti vya plastik badala ya ngaz za simenti.
Ni kweli
ila hizi mbao zinakua karibu sana na pitch na jinsi uwanja wetu ulivyo ni ngumu kwa shabiki kuvuka ule mtaro kuingia uwanjani.

Matangazo muhimu mkuu
 
Mashabiki wa bongo sio wa mchezo mchezo. Kurusha kiti wepesi sana.

Ni muhimu ila ustaarabu uwepo.
Ni kweli
ila hizi mbao zinakua karibu sana na pitch na jinsi uwanja wetu ulivyo ni ngumu kwa shabiki kuvuka ule mtaro kuingia uwanjani.

Matangazo muhimu mkuu
 
Vile viti ni kama uyoga,unang'oa tu. Eti thamani take 200,000
 
Habari zenu wadau wa sports!

Uwanja wa taifa ni moja ya kiwanja cha kisasa na chenye hadhi ya kimataifa na katika viwanja bora barani Africa na kipo katika chati nzuri na za juu. Uwanja huu unauwezo wa kuchukua mashabiki 60000 wakiwa wamekaa, ni jambo la kupongeza.

Mpira wa miguu kwa kiasi kikubwa umekuwa ukiingiza pesa nyingi kupitia matangazo mbalimbali yanayofanywa na Tv, radio station na matangazo ya moja kwa moja toka uwanjani.

Kwa Tanzania, uwanja wa Taifa hali imekua tofauti na viwanja vingine vingi dunia
inakuaje uwanja wa Taifa hauna electronic board ya matangazo?
yaani mpaka leo hii ulimwengu wa technology huu lakini bado ukiingia uwanja wa taifa unakutana na matangazo pembezoni mwa uwanja yamekandamizwa na mawe!
kweli tuko serious na matangazo yanaoingiza pesa nyingi?

Kuna gharama gani kuweka mbao za matangazo za kielektonik taifa?

Kwa hili TFF na wahusika wengine mliangalie kwa jicho pevu, kwani pesa nyingi inapotea tu watu hawavutiwi kutangaza na uwanja wa taifa!

Tuwekeeni elekronik board za matangazo uwanja wa Taifa hii itakua fursa kwenu pia.

Nawasilisha

Nani anahusika kuweka hizo electronic boards kwa ajili ya matangazo? Zile kimsingi ni billboards kama zilivyo billboards nyingine kwenye barabara. Kampuni za matangazo ndizo huwa zinahusika kuweka infrastructure hiyo pale ambapo inaona audience inatosha na kuhamasisha makampuni kujitangaza kupitia njia hiyo. Art work hutengenezwa na makampuni yenye nia ya kujitangaza kwa maelekezo ya wenye facilities hizo. Hivyo, ni jukumu la makampuni ya matangazo kuzungumza na mamlaka zinazosimammia uwanja huo kuona umuhimu wa kuweka njia hiyo ya matangazo.
 
Nani anahusika kuweka hizo electronic boards kwa ajili ya matangazo? Zile kimsingi ni billboards kama zilivyo billboards nyingine kwenye barabara. Kampuni za matangazo ndizo huwa zinahusika kuweka infrastructure hiyo pale ambapo inaona audience inatosha na kuhamasisha makampuni kujitangaza kupitia njia hiyo. Art work hutengenezwa na makampuni yenye nia ya kujitangaza kwa maelekezo ya wenye facilities hizo. Hivyo, ni jukumu la makampuni ya matangazo kuzungumza na mamlaka zinazosimammia uwanja huo kuona umuhimu wa kuweka njia hiyo ya matangazo.
Mkuu sijaelewa hapa vizuri, inamaana kampuni likitengeneza ndio inakua ni mmiliki halali wa ile board?

mi naona kuna hela pale kwa njia ya matangazo, kwanini wamiliki wa uwanja wasitengeze halafu wenye makampuni ndio walete matangazo yao
 
Ule ni uwanja wa serikali. Mimi Nina suggest ungekuwa mamlaka ili ujiendeshe kwa faida kama vile bombardier ni za serikali lkn kapewa ATCL aziendeshe kwa faida. Na uwanja uwe vile!
 
Back
Top Bottom