Uwanja WA NMC JIJINI ARUSHA WAFUNGWA RASMI CHADEMA YANGURUMA!

Je yakitokea maafa Arusha mjini watafunga barabara ili kuwahifadhi wahanga au ndio it
abidi wahamishe tena wamachinga.viwanja vyote vya wazi
walishajimilikisha wenyewe.Vipi kuhusu stand au ndio wataruhusu magari yapack uwanja wa shekh amir abed kama ndio wanaupanga mji?
 
Very interesting. Mbona limekuja ghafla. Sijasikia ikijadiliwa na madiwani. Am not sure, but I doubt political agenda behind the scene.

Acheni woga na ubinafsi! sisi tunacho angalia ni hatima ya wafanya biashara ndogo ndogo, ambao wanaushusha hadhi Geneva ya Afrika. Nyie mnachowaza si mikutano tu! Endeleeni!
 
magamba kwishney.baada ya mada zao za udini,ukabila na mauaji kushindwa kuizima chadema sasa
wanawafungia uwanja ambao tumecheza mpira kwa muda mrefu.
bora kuyatimua madarakani yakafie mbali
hawajui ndio wanazidi kuwafanya wananchi wakose imani nao
 
Uwanja wa nmc jijin arusha umefungwa rasmi kwa kile kinachodaiwa ni kuizima chadema jijini arusha. KUfungwa kwa uwanja huo ni siku moja kabla ya rufaa ya mbunge lema na wakati ambapo chadema ilitarajia kufanya mkutano wake katika uwanja huo hii leo.

Hakuna kitu kama hicho. . .
 
Hapa A town hatuna Karume ila tuna Shekh Abed Stadium! Na wanasema ni ya chama tawala! Lenye mwanzo hata mwisho upo hakika!
 
nahao wafanya biashara wameambiwa wataka kwamda hapo nmc kisha wafungashe vilago waludi makwao ndoilivo mkuu
 
kwanza uwanja wa NMC ni mdogo sana CDM wanapofanya mikutano pale, msongamano ni mkubwa ajabu, bora ufungwe tutafute uwanja mwingine wenye nafasi kwa harakati za kuiondoa CCM na vibaraka wao(wawekezeji) madarakani.
 
Jana kuna Mjumbe aliweka hii habari kuwa Uwanja huu utafungwa usiku...kuna mijitu as usual wa kakanusha ujinga tuuu haya sasa mbona umefungwa!! Upande mwingine nawashauri CCM wawe wapole tuu hivi visa hivi ni sawa na kumfanyia mtoto mdogo yaani ni visa vya kitoto
 
Back
Top Bottom