Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,654
Kwa mujibu wa taarifa za vikao vya halmashauri ya jiji la arusha. Uwanja wa nmc utafungwa hiv karibuni ili kuidhibiti chadema mkoani arusha kwa kutokupata eneo maalum la kufanya mikutano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utafungwaje maana ni open space!! ebu fafanua watajenga ukuta?? Na NMC ni bado ni shirika la umma au idara mojawapo katika acc (arusha city cncl)[UTAFUNGWA KWA KUWEKEWA FENCE AMBAYO ITAKUWA KISINGIZIO CHA KUTOINGIA NDANI YA UWANJA.
Sishangai mie. Maana CDM mnatukera! Na bado, tutawafungia hadi toilets.
nanusa majibu ya hukumu ya lema!mark my words!
Sishangai mie. Maana CDM mnatukera! Na bado, tutawafungia hadi toilets.
Kwa mujibu wa taarifa za vikao vya halmashauri ya jiji la arusha. Uwanja wa nmc utafungwa hiv karibuni ili kuidhibiti chadema mkoani arusha kwa kutokupata eneo maalum la kufanya mikutano.
Sishangai mie. Maana CDM mnatukera! Na bado, tutawafungia hadi toilets.
nanusa majibu ya hukumu ya lema!mark my words!