Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Waziri mkuu pia ashindwa kuondoka.
Pia abiria ambao flights zao zipo destined to Dar es salaam na Kilimanjaro, nao wamekwama. Run way haionekani baada ya uwanja wote kufunikwa na maji.
Tunasubiri maji yaondoke kwa hiari.
Pia abiria ambao flights zao zipo destined to Dar es salaam na Kilimanjaro, nao wamekwama. Run way haionekani baada ya uwanja wote kufunikwa na maji.
Tunasubiri maji yaondoke kwa hiari.